TIMU HIZI NDIO BALAA PROPHET SUGUYE CUP

Mshambuliaji  wa timu ya Tumaini FC  Azizi Mussa, akijaribu kuwatoka mabeki wa Fair Play FC, wakati wa mchezo wa  Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo...
Share:

Vodacom Tanzania Foundation yazindua ripoti ya maendeleo ya jamii na mkakati mpya wa kuchochea ukuaji jumuishi

Na Mwandishi wetu Taasisi isiyo ya kiserikali ya Vodacom Tanzania Foundation, imezindua ripoti yake ya mchango wa maendeleo ya jamii kwa miaka mitatu iliyopita (2014-2017) pamoja na mkakati mpya wa miaka mitatu 2019-2021 unaolenga kuchochea elimu jumuishi, ukuaji wa sekta...
Share:

Unilever yakamilisha kampeni ya Toa Mkono wa Ukaribu kwa kusaidia yatima na wazee wasiojiweza

Meneja Bidhaa ya Omo ya Kampuni ya Unilever, Upendo Mkusa (kushoto) akimkabidhi  msaada wa sabuni, Sukari na Nguo kwa Mkurugenzi wa Kituo cha Kulelea Watoto yatima cha Children`s Home Msimbazi, Sista Etienne katika kuhitimisha Kampeni ya Kampuni hiyo ya Toa  Mkono...
Share:

TIMU YA JESHI YAINYUKA MIEMBENI 4-2 LIGI YA PROPHET SUGUYE

Mshambuliaji wa timu ya Air Wing FC Maselo Said (kushoto), akimtoka Beki wa Miembeni FC Tumpale Kasebele, wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo Airwing...
Share:

Watanzania washauriwa kuwekeza katika masoko ya fedha

Mkurugenzi wa Idara ya Hazina na Masoko ya Fedha wa Benki ya NBC, Peter Nalitolela (kulia) akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), wakati wa semina kuhusu ujuzi katika sekta ya benki pamoja na masoko ya fedha na mitaji...
Share:

Barclays Bank Tanzania under Absa Group Limited announces Visa Credit Card “Live the Card Life” promotional campaign winner

Barclays Bank Tanzania Head of Retail Banking, Oscar Mwamfwagasi (right), addresses a media conference in Dar es Salaam at the weekend to announce the winner of the bank’s just ended Visa Credit Card ‘Live the Card Life’ campaign. A Dar es Salaam resident, Yusufu Fadhili...
Share:

LIGI YA PROPHET SUGUYE WA WRM YAFIKA PAZURI

Beki wa Bodaboda FC, akipiga mpira kwakichwa kuokoa moja ya shambulizi wakati wakichuana na Kitinye FC, katika mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shuleya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kitinye iliibuka...
Share:

Benki ya DCB kuendelea kuwawezesha wananchi kiuchumi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Majaliwa (kulia), akikabidhi cheti kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa kilichotokewa kwa kutambua udhamini wa benki hiyo katika kufanikisha Kongamano la nne la Kitaifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililofanyika...
Share:

Barclays Tanzania opens another forex bureau in a Dar 5 Star Hotel

Barclays Bank Tanzania Head of Marketing and Corporate Relations, Aron Luhanga (right), shakes hands with Hyatt Regency Dar es Salaam Operations Director, Timothy Mlay during the official opening of BBT second forex bureau in Dar es Salaam yesterday. In the picture from left...
Share:

MECHI ZA LEO JUNI 19, VIWANJA VYA SHULE YA MSINGI MISITU KIVULE HAPATOSHI

Mshambuliaji  wa timu ya Magereza FC, Samson Mbangula (wapili kushoto), akijaribu kuwatoka mabeki wa  Professional FC, wakati wa mchezo wa Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la Dar es...
Share:

Maonyesho ya ng'ombe bora wa maziwa yafana Dodoma

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Blog Archive

Labels

Blog Archive