MASHINDANO YA PROPHET SUGUYE CUP YAFIKA PAZURI


Beki na Nahodha wa Kampota FC, Sajo Orden (mwenyejezi ya bluu), akijaribu kumtoka Mshambuliaji wa Texas FC, Abdallah Shabani  wakati wa mchezo wa  Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kampota ilishinda 2-0. Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mlinda mlango  wa Texas FC, James Mlina akijaribu kuokoa shambulizi dhidi ya mchezo wao na Kampota FC, wakati wa mchezo wa  Ligi ya Prophet Suguye  Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo Kampota ilishinda 2-0. Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mshambuliaji wa Kampota FC Hassan Fantom, akijaribu kumtoka mchezaji wa Texas FC, wakati wa mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo Kampota ilishinda 2-0. Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mshambuliaji wa Kampota FC, Juma Mziga akijaribu kuwatoka mabeki  wa Texas FC, wakati wa mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo Kampota ilishinda 2-0. Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mshambuliaji wa Kampota FC, Hassani Fantom, akijaribu kumtoka mchezaji wa Texas FC, wakati wa mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo Kampota ilishinda 2-0. Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Share:

Mkurugenzi Mtendaji wa DCB ashuhudia uwasilishwaji wa Bajeti ya Serikali bungeni, Dodoma

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk, Ashatu Kijaji akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (kulia), bungeni Dodoma jana Mara baada ya Waziri Fedha, Dk. Philip Mpango (hayupo pichani), kuwasilisha bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/20. 
Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Selemani Jafo (kulia), akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (kushoto), bungeni Dodoma jana Mara baada ya waziri wa fedha kuwasilisha bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/20. 
Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (kushoto), bungeni Dodoma jana mara baada ya waziri wa fedha na mipango, kuwasilisha bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2019/20. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya  DCB, Geodfey Ndalahwa (kushoto), pamoja na baadhi ya waalikwa wakifuatilia kwa makini uwasilishwaji wa bajeti ya Serikali Bungeni, Dodoma.
Share:

TIMU YA JESHI YAPOTEANA MBELE YA RELINI FC MASHINDANO YA PROPHET SIGUYE CUP


Mlinda mlango  wa Relini FC, Juma Athuman, akijaribu kuokoa shambulizi dhidi ya mchezo wao na Airwing FC, wakati wa mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Relini imeibuka kidedea kwa 2-0 Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mlinda mlango  wa Airwing FC Mohamed Nassor, akishindwa kuokoa shambulizi dhidi ya mchezo wao na Relini FC, wakati wa mchezo wa  Ligi ya Prophet Suguye  Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Relini imeibuka kidedea kwa 2-0 Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mshambuliaji wa Relini FC Abuisa Moshi, akimtoka Beki wa kushoto wa Airwing FC, Yusuph Seif dhidi ya mchezo wao na Relini FC, wakati wa mchezo wa  Ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Relini imeibuka kidedea kwa   2-0 Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mshambuliaji wa Relini FC, Steven Tiger, akirudisha mpira kwa mlinda mlango wake Juma Athuman, katika moja ya heka heka wakati wa mchezo wao na Airwing FC, katika Ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika Viwanjabvya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la DaresSalaam ambapo timu ya Relini imeibuka kidedea kwa 2-0 Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Wapenzi na Mashabiki wasoka wakiwa viwanjani kufuatilia mtanange huo
  Kikosi cha Airwing FC
Kikosi cha Relini FC
Share:

A world of possibilities as an independent, African bank

Aron Luhanga, Barclays Tanzania
Head of Marketing and Corporate Relations
    
“There is nothing permanent except change,” said Greek philosopher Heraclitus, and how true this is Change – and fast-paced change – is a hallmark of today’s society.

Change can be unsettling at times. But it can also be exciting, filled with new beginnings. It marks the start of a new journey, a new page in the history books.

This is where Absa Group Limited found itself after separating from Barclays PLC, in one of the largest corporate separation projects in commercial history: at the beginning of a new era, with endless possibilities.

This shift in the Group’s stakeholders freed us to chart our path as an African Bank, run by Africans, with global recognition and scalability. Importantly, it gave birth to one of the largest independent African Banks.

As part of this shift the Group renamed our listed entity to Absa Group Limited last year, choosing Absa as our brand across our 10 operations and two affiliates in Africa, pending regulatory approvals.

As we move forward, we will become Absa across all our operations, leveraging the impressive brand equity and home-grown success of our South African subsidiary, while building on the Barclays’ pedigree in Africa.

Absa has been one of the “big five banks” in South Africa for more than 30 years, winning a multitude of awards for its commercial success, social commitment, and innovation. As a Group, we are listed on the Johannesburg Stock Exchange, with a balance sheet of around US$100-billion.

And we do not dare underestimate the task ahead of us.

The banking sector in Africa is rapidly evolving, and only those who can challenge business as usual, offer deep insights into the continent and its demands, and make innovation a cornerstone of delivery will be able to achieve the kind of success that a continent with much potential for growth offers.

We will use every resource to embrace a digital future that enhances easy and better banking for all. This has profound implications for the future of banking in Africa. While our new Brand is grounded in the traditional and trusted banking paradigm, our independence enables us to be more responsive to new economies and shifting market conditions.

Our separation from Barclays PLC provided us with an opportunity to make a step change in investment in new technology to move with these changes, and to lead.

We are building on the strong foundations that have been laid in our operations across Africa over more than 100 years. People in Africa have banked with us for generations – and at our core, we are the same bank millions of customers have trusted over generations in Africa.

Our new strategy in Africa reflects our autonomy, our ambition and our passion. It is marked by two changes: firstly, our new strategy encourages boldness, whereas in the past, we were arguably overly cautious.


For further information please contact:


Aron Luhanga
Head, Marketing & Corporate Relations
Barclays Bank Tanzania Limited
+255 768 221 717
Share:

LORD EYES FC YATOANA JASHO NA MAGEREZA MASHINDANO YA PROPHET SUGUYE CUP


Beki wa Lord Eyes, Ally Khalifa (kulia), akimchezea vibaya Mshambuliaji wa Magereza FC, John Magulambo wakati wa mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu hizo zilitunishiana misuli na kutoka sare ya bila kufungana.
Mshambuliaji  wa timu ya Lord Eyes  FC  Budo Francis,  akijaribu kupiga shuti wakati wa mchezo wao na Magereza FC, katika Mchezo wa  Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu hizo zilitunishiana misuli na kutoka sare ya bila kufungana kulia ni Mshambuliaji wa timu ya Magereza Danford Kessy.
Mshambuliaji wa Magereza FC Moses Godfrey, akimtoka Mchezaji wa Lord Eyes FC John Gisanta, wakati wa mchezo wao na Magereza FC, katika  Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la DaresSalaam ambapo timu hizo zilitunishiana misuli na kutoka sare ya bila kufungana.
Mshambuliaji wa Magereza FC  John Magulambo, akijaribu kufanya mashambulizi, wakati wa mchezo wao na Lord Eyes FC, kwenye Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la DaresSalaam ambapo timu hizo zilitunishiana misuli na kutoka sare ya bila kufungana.
Share:

BENKI YA KCB KUTOA RUZUKU YA MILIONI 85 /-KWA WANAWAKE WAJASIRIAMALI.


Mkuu Wa Masoko na Mahusiano wa Benki ya KCB, Christine Manyenye (katikati) akizungumza na waaandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa programu ya 2jiajiri ambapo jumla ya sh.milioni 85 zinatarajiwa kutolewa kwa wanawake 17 ili kukuza biashara zao, aliyekaa kushoto kwake ni  Mnufaika wa mafunzo hayo pia ni Mkurugenzi wa shule ya Sekondari ya East Coast ya Kibaha,Bhoke Mhini,  kulia kwake ni Rojas Mdoe, Mkuu wa kitengo cha uendeshaji na technology na mwishoni Mkuu wa kitengo cha wateja wakubwa hafla hiyo imefanyika leo Makao makuu ya Benki hiyo.
Mkuu Wa Masoko na Mahusiano wa Benki ya  KCB, Christine Manyenye (katikati), akizungumza na waaandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa programu ya 2jiajiri ambapo jumla ya sh.milioni 85 zinatarajiwa kutolewa kwa wanawake 17 ili kukuza biashara zao, aliyekaa kushoto kwake ni  Mnufaika wa mafunzo hayo pia ni Mkurugenzi wa shule ya Sekondari ya East Coast ya Kibaha,Bhoke Mhini,  kulia kwake ni Rojas Mdoe, Mkuu wa kitengo cha uendeshaji na technology na mwishoni Mkuu wa kitengo cha wateja wakubwa hafla hiyo imefanyika leo Makao makuu ya Benki hiyo
Mkuu Wa Masoko na Mahusiano wa Benki ya  KCB, Christine Manyenye, akizungumza wakati wa hafla hiyo  wengine ni Maofisa wa Benki hiyo pamoja na waandishi wa habari
Mnufaika wa Mafunzo hayo na Mkurugenzi wa shule ya Sekondari ya East Coast ya Kibaha, Bhoke Mhini, akizungumza wakati wa hafla hiyo, kulia ni Mkuu Wa Masoko na Mahusiano wa Benki ya  KCB, Christine Manyenye pamoja na Maofisa kutoka Benki hiyo

Benki ya KCB Tanzania leo imezindua awamu ya pili ya programu yake ya 2jiajiri katika warsha iliyofanyika katika makao makuu yabenki hiyo jijini Dar es Salaam.

Uzinduzi huo iliyohudhuriwa na baadhi ya walengwa wa programu ya 2jiajiri, wafanyakazi wa Benki ya KCB, waandishi wa habari na wadau mbali mbali umeendelea kuonyesha dhamira ya dhati ya benki hiyo katika kumnyanyua mwanamke wa Kitanzania.

Tangu kuzinduliwa kwake mwaka 2016, programu ya 2jiajiri imefanikiwa kuwawezesha wanawake 256 wa Kitanzania katika sekta ya biashara kwa kuwapa mafunzo mbali mbali na kuwapanulia wigo wa masoko ili kukuza mitaji na uwezo wa kibiashara.

2jiajiri kwa Mwaka 2019 inafanyika kwa awamu mbili ambapo awamu ya kwanza ililenga katika kutoa mafunzo nadharia kwa wanawake 256 katika nyanja za kurasimisha biashara, usimamizi wa fedha na mafunzo ya kuongeza mauzo na kukuza soko la biashara zao.

 Aidha wanawake 115 kati ya 256 walipitia mafunzo kwa vitendo katika nyanja mbali mbali. Awamu ya pili ambayo imezinduliwa leo tarehe 12 Juni 2019 inatarajia kutoa ruzuku ya TSH 5,000,000.00 kwa washiriki wa programu hiyo ambao wamekamilisha na kufuzu awamu ya kwanza ya programu ya 2jiajiri.

Jumla ya walengwa 17 watapitia mchujo ili kuhakikisha ustahili wa na matumizi sahihi ya ruzuku hiyo ili kukuza biashara zao. Akiongea katika uzinduzi huo, Mkuu wa Masoko na Mahusiano, Bi. Christine Manyenye alisema japo ruzuku hiyo haina marejesho, Benki ya KCB itaendelea kufuatilia kwa karibu maendeleo ya wapokeaji ili kuhakikisha wanawake hao wanafikia malengo yao ya kibiashara.

Aidha Bi. Manyeye aliainisha vigezo ambavyo wapokeaji wanatakiwa kukidhi vikiwemo kujaza fomu inayopatikana katika tovuti ya Benki ya KCB na matawi yake nchi nzima, lazima mpokeaji awe amekamilisha mafunzo ya kinadharia na vitendo katika awamu ya kwanza, awe muendesha akaunti ya 2jiajiri iliyo hai na awe mwenye cheti na leseni halali ya usajili wa biashara.

Akizungumza katika uzinduzi huo, Bi. Bhoke Mukoji Mhini, Mkurugenzi Mtendaji wa Shule ya Sekondari ya East Coast iliyo Kibaha ambaye ni mmoja wa walengwa wa programu ya 2jiajiri alisema kwamba hajawahi kuona dhamira ya dhati katika kumuwezesha wanawake wa Kitanzania na kuwa Benki ya KCB na 2jiajiri ni mfano wa kuigwa na taasisi nyingine.

“KCB Bank na mpango wa 2jiajiri umenyanyua ufito wa uwekezaji kwa jamii. Kuhusu Benki ya KCB Benki ya KCB ni benki kubwa zaidi Afrika Mashariki na Kati iliyoanzishwa mwaka 1896 kisiwani Zanzibar. Toka hapo benki imekua na kuenea katika nchi 6 za Tanzania, Kenya Sudani ya Kusini, Uganda, Rwanda, Burundi na Ethiopia.

 Leo hii ina mtandao mkubwa zaidi katika kanda hii ikiwa na matawi 262, mashine za kutolea fedha (ATM) 962, na wakala 15,000 wanaotoa huduma za benki masaa 24 siku saba za wiki Afrika Mashariki. Benki ya KCB imesajiliwa katika soko la hisa la Nairobi, Dar es Salaam, Uganda na Rwanda. KCB Bank Group pia linamiliki kampuni ya bima ya KCB, KCB Capital na KCB Foundation.

Nchini Tanzania, KCB ilifungua milango yake mwaka 1997 na toka hapo imekuwa mdau mkubwa katika kukuza sekta ya fedha nchini. Benki ya KCB Tanzania ni mlipa kodi mzuri, mwajiri wa watanzania zaidi ya 300, inafundisha wafanyakazi wake weledi wa kikazi na pia pale inapotokea nafasi inapeleka wafanyakazi katika soko la Afrika.
Share:

AZAM YACHEZEA KICHAPO MASHINDANO YA PROPHET SUGUYE CUP


Mshambuliaji wa Kivule Forest FC  Kissa kisa, akijaribu kumtoka Beki wa Azam Poly Sacks katika mchezo wa Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kivule Forest imeibuka na ushindi wa 7-1 Mchezo huo umepigwa saa nane mchana  leo viwanjani hapo.
Wachezaji wa timu hizo wakiwania mpira wakati wa mchezo wa  Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kivule Forest  imeibuka na ushindi wa 7-1 Mchezo huo umepigwa saa nane mchana  leo viwanjani hapo.
Mlinda mlango  wa Azam Poly Sacks akijaribu kuufuata  mpira dhidi ya mchezo wao na Kivule Forest  wakati wa mchezo wa  Ligi ya Prophet Suguye  Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kivule Forest  imeibuka na ushindi wa 7-1 Mchezo huo umepigwa saa nane mchana  leo viwanjani hapo.
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Blog Archive

Labels

Recent Posts

Label Cloud

BIASHARA (331) BURUDANI (4) KIMATAIFA (10) KITAIFA (129) MICHEZO (41) SIASA (3)

Pages