Zantel yazindua progam maalumu kusaidia wahitimu wa vyuo kupata ajira moja kwa moja Zantel

Mkuu wa Zantel Zanzibar, Mohamed Khamis Mussa (wa pili kulia), akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi rasmi wa program ya wahitimu wa vyuo vikuu inayovilenga  vyuo vikuu visiwani  humo itakayowasaidia wahitimu hao kupata ajira moja kwa moja Zantel. Kutoka kushoto...
Share:

Mbowe, vigogo Chadema wafikishwa Mahakama ya kisutu,wanakabiliwa na mashtaka nane likiwemo la uchochezi na uasi.

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Freeman Mbowe na vingozi wenzake watano, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka nane yakiwemo ya uchochezi na uasi.Mbali na Mbowe wahtakiwa wengine ni wengine ni Peter Msigwa,...
Share:

NBC exchange views with its retail and business banking customers in the Isle

Zanzibar Minister for Finance and Planning, Dr. Khalid Salum Mohamed, addresses NBC retail and business banking customers together with the bank’s officials in Zanzibar recently. NBC Retail Banking Director, Filbert Mponzi, addresses customers at a get- together hosted...
Share:

Uber sasa kuja na huduma mpya na yenye bei nafuu.

Na Florah Raphael. kampuni ya Uber imetangaza ujio wa huduma mpya ya uberPOA huduma hii ni ya bei nafuu inayolenga bajaji ikiwa ni juhudi za kupiga jeko huduma ya uberX jijini Dar es Salaam. Huduma hii mpya, ambayo wateja wataanza kufurahi kuanzia leo, itatolewa...
Share:

YALIYOJIRI MAGAZETINI JUMATATU MARCH 26,2018

YALIYOJIRI MAGAZETINI  JUMATATU MARCH 26,2018 ...
Share:

Barclays give a helping hand to the less privileged kids

Barclays Bank Tanzania Head of  Legal and Compliance Department, Dotto Kahabi, hands over  clothes,  various food items and specially designed tables and chairs for disabled children to the director of Mwanangu Special Day Care and Rehabilitation Centre Director,...
Share:

Mshindi Kampeni ya Akaunti ya Malengo Kanda ya Dodoma akabidhiwa gari lake

Mshindi Kampeni ya Akaunti ya Malengo Kanda ya Dodoma akabidhiwa gari lake Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Bilinith Mahenge akikabidhi funguo na kadi ya gari jipya aina ya Suzuki carry ‘Kirikuu’ kwa mmoja wa washindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya Benki...
Share:

Mshindi Kampeni ya Akaunti ya Malengo Kanda ya Dodoma akabidhiwa gari lake.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Bilinith Mahenge akikabidhi funguo na kadi ya gari jipya aina ya Suzuki carry ‘Kirikuu’ kwa mmoja wa washindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya Benki ya NBC, Patrick Bartholomeo Mgimwa (wa pili kushoto), katika hafla iliyofanyika mjini...
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Blog Archive

Labels

Blog Archive