Benki ya DCB yafunga mwaka ikiendelea kubeba tuzo lukuki

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar, Jamali Kassim Ali (katikati), akikabidhi tuzo kwa Ofisa Fedha Mkuu wa Benki ya DCB, Costantine Mtumbuka jijini Dar es Salaam hivi karibuni baada ya benki hiyo kuibuka mshindi wa kwanza wa uandaaji bora wa hesabu kwa mwaka 2021 katika...
Share:

TANZANIA COMMERCIAL BANK YAJIVUNIA KUSHEREHEKEA HUDUMA BORA

Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank TCB Sabasaba Moshingi akimlisha keki Mteja wa Benki hiyo Bi Janemary Rutahoile ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja inayoendelea katika Tawi la Tanzania Commecial Bank lililopo Mlimani City jijini Dar es Salaam...
Share:

MAAJABU YA BIDHAA ZA LG SMART HOME , UOKOA NISHATI NA MUDA

  Na Mwandishi Wetu• Faida kuu za vifaa Vya Nyumbani vya LG ni pamoja na kutoa urahisi na uharaka wa kutumia vifaa kama TV na friji, utendakazi ulioboreshwa kupitia teknolojia ya Upelelezi wa Artificial Intelligence (AI) kwa washer na kuokoa nishati kwa viyoyozi.•...
Share:

Mpango Mpya wa Serikali Wapongezwa, TCU wabariki

 Wadau wa elimu ya juu wamepongeza mpango mpya wa serikali kuvitaka vyuo vikuu na taasisi zingine za elimu ya juu nchini kuanzisha kampasi.Wakiongea wakati wa mahojiano na mwandishi huyu walisema mpango huu utawezesha upatikanaji wa wahitimu wenye ujuzi na wanaohimili ushindani...
Share:

OFISI YA RC SINGIDA, BODI YA KOROSHO WAKUTANA KUMALIZA CHANGAMOTO YA WAKULIMA WA KOROSHO MANYONI

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Binilith Mahenge akiongoza kikao cha kutatua changamoto iliyojitokeza baada ya wakulima waliolipia mashamba kwa ajili ya kilimo cha korosho wilayani Manyoni mkoani hapa kutopatiwa mashamba yao kwa zaidi ya miaka mitatu. Kikao hicho kilichowahusisha...
Share:

MR & MRS MREMA WAMALIZA 'HONEYMOON TOUR' MBUGA ZA WANYAMA, WASISITIZA JAMBO

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha TLP, Augustino Mrema na mke wake Doreen Kimbi wakiwa katika ziara ya siku sita kwenye hifadhi nne za wanyama kwa ajili ya kukamilisha fungate yao ziara waliyoimaliza juzi.Na Thobias Mwanakatwe, MoshiMWENYEKITI wa Taifa wa Chama TLP, Augustino...
Share:

Absa Tanzania yakabidhi zawadi kwa mshindi wa kampeni ya Absa Card Assist ya ligi kuu ya Uingereza (EPL)

 Meneja wa Kitengo cha Wateja Maalumu wa Benki ya Absa Tanzania (Premier Center Manager), Agnes Mushi (wa tatu kulia) akikabidhi zawadi ya smart tv nchi 43 na sound system kwa Catherine Mwakisu akimwakilisha James Samson Babala aliyeibuka kidedea katika kampeni ya Ligi...
Share:

TANZANIA COMMERCIAL BANK YAJITOLEA UPIMAJI WA AFYA BURE DAR ES SALAM

 Meneja wa Tanzania Commercial Bank (TCB), Tawi la Mbagala Edward Mwoleka (katikakati), akifanyiwa kipimo cha moyo na Mtaalam kutoka Alliance insurance Group Ravi Kumar, wakati Tanzania Commercial Bank waliposhirikiana na Alliance insurance kutoa vipimo vya magonjwa mbalimbali...
Share:

Absa Yaahidi Kuimarisha Ubora Wa Huduma Huhakikisha Ukuaji Endelevu

 Mwakilishi wa Mufti Mkuu wa Zanzibar, Shehe Khalid Ali Mfaume akihutubia katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya Absa kwa wateja wake wa visiwani humo jana.Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya Absa Tanzania, Melvin Saprapasen (kulia), akisaidia kuweka mlo...
Share:

COSOTA YAMTUNUKU TUZO YA HESHIMA KATIBU MKUU WA TAMUFO STELLA JOEL

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Hati Miliki Tanzania (COSOTA) Filemoni Kilaka akimkabidhi Tuzo ya Heshima Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanamuziki Tanzania (TAMUFO) Stella Joel kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuhamasisha maendeleo ya muziki nchi. Hafla ya kukadhiwa tuzo hiyoilifanyika...
Share:

MTENDAJI KATA YA DUNG'UNYI WILAYANI IKUNGI AONGOZA KUKAGUA MRADI WA MAJI SHULE YA SEKONDARI DADU

Afisa  Mtendaji  Kata ya Dung'unyi wilayani Ikungi mkoani Singida Yahaya Njiku akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Dadu baada ya kukagua mradi wa maji wa Kisima Kirefu uliokwisha kamilika katika Shule hiyo jana na kuridhishwa na matumizi ya fedha zilizotolewa...
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Blog Archive

Labels

Blog Archive