Absa Bank Tanzania injects TZS 15m bankroll war against Covid 19 pandemic

 Absa Bank Tanzania Head of Marketing and Corporate Relations, Aron Luhanga (right) hands over a dummy check for Tsh 15m to EngenderHealth Country Representative, Prudence Masako, donated by Absa to the charity for procurement of personal protective gear to shore up the...
Share:

Kampuni ya bima ya Strategis yajitosa kuhudumia Arusha

 Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Mamlaka ya Usimamizi wa Shughuli za Bima nchini (TIRA), Zakaria Muyengi (kutoka kushoto), Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Bima ya Strategis (kitengo cha Bima za afya), Dk. Flora Minja na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Strategis (Bima za maji...
Share:

BENKI YA NBC YAPANIA KUVIINUA VYAMA VYA USHIRIKA TABORA.

 Mkuu wa Kitengo cha Wateja Wadogo wa Benki ya NBC, Nd Raymond Urassa akizungumza na viongozi wa vyama zaidi ya 200 vya ushirika (AMCOS) Mkoani Tabora wakati wa kongamano lilioandaliwa na benki hiyo lenye lengo la kuwapa mafunzo mbalimbali yakiwemo umuhimu wa huduma za...
Share:

Absa Tanzania yazinduamfumo wa kidigitali kusogeza huduma kwa wateja wake kwa kutumia WhatsApp

 Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Absa Tanzania, Obedi Laiser (kushoto) akikata utepe kuzindua mfumo wa kidigitali unaowezesha upatikanaji wa huduma za kibenki kwa njia ya mtandao wa WhatsApp katika Tawi la Absa Mikocheni jijini Dar es Salaam leo. Katikati ni Mkuu wa Huduma...
Share:

RAIS MSTAAFU IAMWAGIA SIFA BENKI YA NBC

 Rais Mtaafu wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania awamu ya nne Jakaya Mrisho Kikwete ambaye alikuwa mgeni rasmi katika hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na benki hiyo akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara NBC, Nd Theobald Sabi. Hafla...
Share:

Absa Bank Tanzania co-sponsors FinTech & HealthTech youth entrepreneurs in the inaugural Wazo Challenge Tanzania Demo Day

    Absa Bank Tanzania announced youth entrepreneurial winners of the Wazo Challenge Tanzania Demo Day. The program was managed and organized by Startup Réseau; an India-headquartered startup accelerator which kick-started its East Africa expansion with the...
Share:

BENKI YA NBC YAZINDUA KLABU YA WAFANYABIASHARA MKOANI KIGOMA

Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma Rashid Mchatta (wapili kushoto), pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Theobald Sabi wakifurahia baada ya kufanya uzinduzi rasmi wa NBC Biashara Club kwa Mkoa wa Kigoma uliofanyika katika Hoteli ya Lake Tanganyika wenye...
Share:

WAKAZI WA MKOA WA KATAVI WAIPOKEA BENKI YA NBC KWA SHANGWE

Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Komredi Juma Zuberi Homera (katikati), akikata keki wakati wa uzinduzi Ofisi ya wakala mkuu wa huduma ya NBC Wakala Plus katika Manispaa ya Mpanda mjini mkoani Katavi hivi karibuni. kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa NBC Tanzania, Theobald Sabi, Meneja...
Share:

Waziri Ndugulile:Tunaandaa sheria ya faragha kulinda taarifa za mtumiaji

 Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, TEHAMA Faustine Ndugulile akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mdahalo wa wadau wa sekta ya TehamaWaziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Faustine Ndugulile amesema katika kutengeneza mazingira rafiki...
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Blog Archive

Labels

Blog Archive