
Mkuu
wa Mkoa wa Katavi, Komredi Juma Zuberi Homera (katikati), akikata keki
wakati wa uzinduzi Ofisi ya wakala mkuu wa huduma ya NBC Wakala Plus
katika Manispaa ya Mpanda mjini mkoani Katavi hivi karibuni. kushoto ni
Mkurugenzi Mtendaji wa NBC Tanzania, Theobald Sabi, Meneja...