AKIBA COMMERCIAL BENKI YAIPIGA JEKI TAASISIS YA FATA VICOBA ENDELEVU YADHAMINI MKUTANO WA MWAKA

 Meneja wa Benki ya Akiba Commercial Benki PLC (ACB), Tawi la Kijitonyama Joachim Mowo (kushoto) akizungumza na wanachama wa Taasisi ya fata vicoba endelevu wakati wa halfa ya Mkutano wao wa mwisho wa mwaka wa Taasisi hiyo ambapo mkutano huo uliodhaminiwa na Benki ya ACB...
Share:

Absa Tanzania Yashinda Tuzo Ya Benki Bora Ya Kimataifa nchini Tanzania

Naibu Waziri wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Mhe Exaud Silaoneka Kigahe (wa pili kulia) akikabidhi cheti cha shukrani kwa kutambua mchango wa Benki ya Absa Tanzania kama mdhamini mkuu wa tuzo za kila mwaka za walaji (Tanzania Consumer Choice Awards), kwa Ofisa Fedha Mkuu wa...
Share:

Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda Apongeza Uwezeshaji Unaofanywa Na Benki Ya CRDB Kwa Wanawake

Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Pinda akipata maelezo kutoka kwa Meneja Mahusiano Tawi la Oysterbay, Witness Kileo kuhusu uwezeshaji unaofanywa na Benki yetu kwa Wanawake kupitia CRDB Malkia wakati wa Mkutano Mkuu wa Pili na Madirisha uliofanyika jumamosi hii katika Kituo cha...
Share:

Wafanyakazi wa Benki ya Absa wajitolea kusaidia watoto

Mkuu wa Huduma za Kibiashara wa Benki ya Absa Tanzania, Pius Makalle akikabidhi baadhi ya vitu walivyotoa msaada kwa Meneja wa Mahabusu ya Watoto Upanga, Darius Damas (wa tano kushoto), kituoni hapo, Upanga, Dar es Salaam Jana. Katika hafla hiyo wafanyakazi hao walikabidhi vifaa...
Share:

Tanga Cement yashinda ushindi wa jumla tuzo za NBAA kwa Mwaka 2019

Kamishna wa Fedha anaesimamia sekta za maendeleo kutoka Wizara ya Fedha Dk. Charles Mwamaja (wa pili kushoto), akikabidhi tuzo ya ushindi wa kwanza wa kipengele cha Wazalishaji Bora katika tuzo za Uwasilishaji Bora wa Taarifa za Mahesabu za Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi...
Share:

Absa Tanzania scoop NBAA award

The National Board of Accountants and Auditors Board (NBAA), Vice Chairperson, Dr. Neema Kiure presents the Best Presented Financial Statements third winner award in banking category to Absa Bank Tanzania Financial Controller, Bernard Tesha, during the NBAA annual gala dinner...
Share:

Managing your investments during a period of turmoil

  By Vimal Kumar, Chief Executive: Retail and Business Banking, Digital and Customer Experience, Absa Regional Operations.The COVID-19 pandemic has affected every sector of society across the globe, with everyone impacted from an economic, health and social perspective....
Share:

Mkoa Wa Ruvuma Una Mbolea Ya Kutosha Msimu Mzima

 Mbolea iliyohifadhiwa katika ghala la SONAMCU mjini Songea.Mbolea iliyoifadhiwa katika ghala ya kuhifadhia mbolea la SONAMCU mjini Songea.Mbolea ya SA iliyohifadhiwa katika ghala la SONAMCU mjini Songea.Mkurugenzi Mtendaji wa NFRA Dkt.Stephan Ngailo akizungumza baada ya...
Share:

Absa Bank Tanzania empowers its SME customers with financial literacy in Dar.

Absa Bank Ohio Branch Manager, Ally Janja (left), in conversation with some banks small and medium enterprises customers during a training on issues related to financial skills organised by the financial institution in Dar es Salaam. Absa Bank Tanzania Relationship Manager,...
Share:

Marekani yataka Armenia na Azerbaijan kukumbatia Diplomasia

Na Patrick Nduwimana | Washington DC | Waziri wa mambo ya nje wa marekani Mike Pompeo amezisihi Armenia na Azerbaijan kufikia suluhisho la kidiplomasiya kuhusu mzozo kati yao wa kudhibiti jimbo lenye ugomvi la Nagorno Karabakh, ambako ghasia zilizoanza miezi miwili iliopita...
Share:

FAIDA YA BENKI YA NMB YAPANDA KWA ASILIMIA 76 KATIKA KIPINDI CHA ROBO YA TATU YA MWAKA 2020

Benki ya NMB imepata ongezeko la asilimia 76 la faida kabla ya kodi kwa kipindi kilichoishia Septemba 30, 2020.Kwa miaka mitano sasa, Tanzania imeshuhudia ukuaji imara wa uchumi uliowezeshwa na sera thabiti za kiuchumi za Serikali ya awamu ya Tano. Maendeleo haya ya kiuchumi,...
Share:

TANZANIA’S TELECOMS SECTOR: A POWERFUL FORCE FOR POSITIVE ECONOMIC CHANGE

Ndechao Sangawe | UDBS | The scale of technological change continues to unfold at a dramatic pace. Today, many of the advances in mobile-assisted technology would have not been imaginable at the beginning of the 21st century.As these advances take place, it is not...
Share:

Donald Trump amuapisha Amy Coney Barrett kuwa Jaji katika Mahakama Kuu Marekani!

Baraza la seneti la marekani limemuidhinisha jaji Amy Coney Barret kwa kura 52 dhidi ya 48 kuwa jaji kwenye mahakama ya juu ya marekani kuchukua nafasi ilioachwa na marehemu jaji Ruth Bader Ginsburg.Ma seneta karibu wote wa chama cha republican wamepiga kura kumuidhinisha jaji...
Share:

RC KUNENGE AWATAKA BODABODA KUWAFICHUA WAHALIFU, ASEMA SERIKALI ITAENDELEA KUWAWEKEA MAZINGIRA BORA YA KAZI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge amewataka waendesha Bodaboda na Bajaji kuwa mabalozi wazuri wa kulinda amani na utulivu wa Mkoa huo na kuwaomba kutoa taarifa pindi wanapobaini watu au kundi la watu wahalifu.RC Kunenge ametoa kauli hiyo leo wakati wa mkutano...
Share:

TWIGA A TRIUMPH OF PARTNERSHIP

Barrick President and Chief Executive, Mark Bristow addresses a media conference in Dar es Salaam, Tanzania on 23rd October this year about the success story of Twiga Mineral Corporation. Twiga is a joint venture between Barrick and the Government of Tanzania.Members of international...
Share:

Tanzia: Mtangazaji wa TBC, Elisha Elia Afariki Dunia!

Mtangazaji wa Shirika la Habari Tanzania (TBC), ELISHA ELIA MWAKAGALI amefariki Dunia hii Jumamosi ya leo, Oktoba 24, 2020 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokua amelazwa kwa matibabu. Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Dkt. Ayub Rioba amethibitisha kutokea kwa msiba huo.Bwana...
Share:

ABSA BANK TANZANIA DONATES TSHS 10 MILLION TO SUPPORT PACT WASH PROJECTS

Absa Bank Tanzania Director of Finance, Obedi Laiser (second left), hands over a dummy cheque for TShs 10 million to Pact Tanzania Country Director, Marianna Balampama in Dar es Salaam yesterday. Looking on from left are; Absa Bank Marketing and Corporate Relations Head, Aron...
Share:

Watumishi wa Afya, Wadau Wakutana Karimjee

Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Godwin Gondwe akiwa katika hafla hiyo iliyofanyika katika Viwanja Vya Karimjee Dar es Salaam.Mgeni rasmi ambaye ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Ng’wilabuzu Ndwata Ludigija (katikati) akiteta jambo na Mkuu...
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Blog Archive

Labels

Blog Archive