
Meneja
BANC ABC-Kanda ya Morogoro , Raphael Kalinga,(katikati), akikabidhi
vifaa vya ujenzi wa Choo kwa Afisa Elimu Msingi Manispaa ya Morogoro,
Chausiku masegenya (wapili kutoka kulia), kulia Diwani wa Viti Maalum
Mhe. Hadija Kibati.Meneja BANC ABC-Kanda ya Morogoro...