OFISI YA RC SINGIDA, BODI YA KOROSHO WAKUTANA KUMALIZA CHANGAMOTO YA WAKULIMA WA KOROSHO MANYONI

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Binilith Mahenge akiongoza kikao cha kutatua changamoto iliyojitokeza baada ya wakulima waliolipia mashamba kwa ajili ya kilimo cha korosho wilayani Manyoni mkoani hapa kutopatiwa mashamba yao kwa zaidi ya miaka mitatu. Kikao hicho kilichowahusisha...
Share:

MR & MRS MREMA WAMALIZA 'HONEYMOON TOUR' MBUGA ZA WANYAMA, WASISITIZA JAMBO

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha TLP, Augustino Mrema na mke wake Doreen Kimbi wakiwa katika ziara ya siku sita kwenye hifadhi nne za wanyama kwa ajili ya kukamilisha fungate yao ziara waliyoimaliza juzi.Na Thobias Mwanakatwe, MoshiMWENYEKITI wa Taifa wa Chama TLP, Augustino...
Share:

Absa Tanzania yakabidhi zawadi kwa mshindi wa kampeni ya Absa Card Assist ya ligi kuu ya Uingereza (EPL)

 Meneja wa Kitengo cha Wateja Maalumu wa Benki ya Absa Tanzania (Premier Center Manager), Agnes Mushi (wa tatu kulia) akikabidhi zawadi ya smart tv nchi 43 na sound system kwa Catherine Mwakisu akimwakilisha James Samson Babala aliyeibuka kidedea katika kampeni ya Ligi...
Share:

TANZANIA COMMERCIAL BANK YAJITOLEA UPIMAJI WA AFYA BURE DAR ES SALAM

 Meneja wa Tanzania Commercial Bank (TCB), Tawi la Mbagala Edward Mwoleka (katikakati), akifanyiwa kipimo cha moyo na Mtaalam kutoka Alliance insurance Group Ravi Kumar, wakati Tanzania Commercial Bank waliposhirikiana na Alliance insurance kutoa vipimo vya magonjwa mbalimbali...
Share:

Absa Yaahidi Kuimarisha Ubora Wa Huduma Huhakikisha Ukuaji Endelevu

 Mwakilishi wa Mufti Mkuu wa Zanzibar, Shehe Khalid Ali Mfaume akihutubia katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya Absa kwa wateja wake wa visiwani humo jana.Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya Absa Tanzania, Melvin Saprapasen (kulia), akisaidia kuweka mlo...
Share:

COSOTA YAMTUNUKU TUZO YA HESHIMA KATIBU MKUU WA TAMUFO STELLA JOEL

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Hati Miliki Tanzania (COSOTA) Filemoni Kilaka akimkabidhi Tuzo ya Heshima Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanamuziki Tanzania (TAMUFO) Stella Joel kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuhamasisha maendeleo ya muziki nchi. Hafla ya kukadhiwa tuzo hiyoilifanyika...
Share:

MTENDAJI KATA YA DUNG'UNYI WILAYANI IKUNGI AONGOZA KUKAGUA MRADI WA MAJI SHULE YA SEKONDARI DADU

Afisa  Mtendaji  Kata ya Dung'unyi wilayani Ikungi mkoani Singida Yahaya Njiku akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Dadu baada ya kukagua mradi wa maji wa Kisima Kirefu uliokwisha kamilika katika Shule hiyo jana na kuridhishwa na matumizi ya fedha zilizotolewa...
Share:

RAIS MWINYI ATOA SADAKA YA FUTARI KWA WAZEE, YATIMA NA WANANCHI WENYE HALI NGUMU WILAYA YA KUSINI UNGUJA

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Sadaka ya Futari mmoja wa Mzee wa Mkoa wa Kusini Unguja Bi.Arabia Ali Kombo, wakati wa kukabidhi sadaka ya futari kwa Wazee, Yatima na Wananchi wenye hali ngumu, hafla hiyo iliyofanyika...
Share:

WANANCHI IKUNGI WAHIMIZWA KUTUNZA CHAKULA ILI KUJIKIGA NA BAA LA NJAA

 Mwenyekiti  wa  Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ikungi Mika Likapakapa akiwahutubia Wananchi wa Kijiji cha Mwisi Kata ya Lighwa katika mkutano wa hadhara wa kuzungumzia maendeleo na kupokea kero za wananchi ili zifanyiwe kazi ulioandaliwa na Diwani wa Kata...
Share:

BENKI YA ABC YATOA VIFAA VYENYE THAMANI YA ZAIDI YA MILIONI 2 KUSAIDIA UJENZI WA CHOO CHA WAALIMU SHULE YA MSINGI MTAWALA MANISPAA YA MOROGORO.

 Meneja BANC ABC-Kanda ya Morogoro , Raphael Kalinga,(katikati), akikabidhi vifaa vya ujenzi wa Choo kwa Afisa Elimu Msingi Manispaa ya Morogoro, Chausiku masegenya (wapili kutoka kulia), kulia Diwani wa Viti Maalum Mhe. Hadija Kibati.Meneja BANC ABC-Kanda ya Morogoro...
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Blog Archive

Labels

Blog Archive