TANZANIA COMMERCIAL BANK YAZINDUA KADI YA MALIPO YA KIMATAIFA YA POPOTE VISA

   Makamu wa Rais wa VISA card Africa Mashariki Corine Nana (kulia), na Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank Sabasaba Moshingi wakiminya kitufe kuashiria uzinduzi rasmi wa Popote Visa Card iliyozinduliwa na Tanzania Commercial Benki kwaajili ya kuwarahisishia...
Share:

JUKWAA LA "Getpaid" KUTOA FURSA KWA VIJANA TANZANIA

 Mkuu wa Kitengo cha Biashara-GetPaid, Bw. Justine Mahinyila, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari, wakati wa uzinduzi rasmi wa Jukwaa la GetPaid, jijini Dar es Salaam jana. Picha na Mpiga Picha WetuWashiriki wakifuatia  mijadala jinsi ya kutumia la Jukwaa...
Share:

KONNECT TANZANIA YAZINDUA MTANDAO WA SATELAITI NCHINI

 Wadau mbalimbali na wageni waalikwa wakifuatilia uzinduzi rasmi wa mtandao wenye kasi zaidi nchini Konnect utakaowawezesha watanzania kupata huduma ya intaneti yenye kasi kubwa zaidi kwa sababu mtandao wa Konnect ni mtandao wa kwanza nchini wenye kasi kuliko mitandao...
Share:

WANAWAKE KANISA LA KKKT KWENYE MATEMBEZI YA SHUKURANI

  Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Boko, Ambakisye Lusekelo (wa pili kulia) akiongoza matembezi ya Shukrani ya kilometa 5 yaliyoanzia Kanisa la KKKT - Boko na kuishia katika ufukwe wa Ndege Beach Mbweni jijini Dar es...
Share:

MONGELLA AIPA TANO TANZANIA COMMERCIAL BANK

  Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella (katikati), akikata utepe  kuashiria uzinduzi rasmi wa Tawi jipya la Usariver lililofunguliwa leo wilaya ya Arumeru,Mkoani Arusha kushoto ni  Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank Sabasaba Moshingi,...
Share:

TANZANIA COMMERCIAL BANK YATIA NANGA ZANZIABAR YAMFURAHISHA RAIS DK MWINYI

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi ambae pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF) na (wa pili kushoto), akipokea hundi ya shilingi milioni kumi kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Sabasaba Moshingi, kwaajili...
Share:

NGAIZA FOUNDATION KUSHIRIKIANA NA DC ALBERT MSANDO KUTATUA MIGOGORO YA WANANCHI WILAYA YA MOROGORO

Wasema lengo ni kuhakikisha ifikapo 2025 suala la Migogoro Wilaya ya Morogoro linabaki historia. Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Chini ya Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. ALBERT MSANDO kwa kushirikiana na Taasisi ya NGAIZA FOUNDATION wanataraji kuendesha zoezi la utatuzi na...
Share:

KAMPUNI YA TANGA CEMENT YATAJA FAIDA ZA KILI MARATHON

Meneja Mahusiano na Mawasiliano ya Nje wa Kampuni ya Tanga Cement (TCPLC), Bi. Mtanga Noor (kulia), kigawa maji kwa mmoja wawashiriki wa mbio za kilimanjaro marathon ambapo kampuni hiyo imetumia zaidi ya shilingi milioni 36 kudhamini vituo vya maji na kupoozea wakimbiaji pamoja...
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Blog Archive

Labels

Blog Archive