UCHAGUZI KURA ZA MAONI KATA YA BUYUNI MWENYEKITI ALETA VURUGU

Na Mwandishi wetu Uchaguzi kura za maoni ndani ya ccm umeendelea kushika kasi ambapo leo umeendelea kwa hatua kwa wanaoomba nafasi za udiwani. Wilayani ilala katika kata ya buyuni  bwana Karim Madenge  ameongoza kwakupata kura 57 kati ya kura 160...
Share:

Zantel yazindua huduma ya Halikati, wateja kuweza kuvusha dakika na Mbs zilizosalia kwenda kifurushi kipya

Mkuu wa Zantel Zanzibar, Mohammed Khamis Mussa (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ijulikanayo kama ‘Bando Halikati’ inayompa mteja uwezo wa kuvusha dakika na MBs za intaneti kutoka kifurushi cha awali kwenda kifurushi kipya.Huduma...
Share:

ABSA Tanzania MD speaks on the Banks Key Highlights

Following the successful launch of the Absa brand in Tanzania, our editor had the opportunity to catch up with Absa Tanzania Managing Director Abdi Mohamed. In a wide ranging exclusive interview he was able to share the key highlights of the journey to Absa and the turnaround...
Share:

NBC kuendelea kuwainua wajasiriamali

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi (kushoto), akionyesha tuzo ya udhamini mkuu wa maonesho ya 44 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam, mara baada ya kukabidhiwa na Waziri wa Viwanda na Biashara wa Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali, katika hafla ya ufungaji...
Share:

MJASILIAMALI ELIZABETH JACKSON AINGIA KWENYE MTANANGE WA KUSAKA UBUNGE JIMBO LA UBUNGO

Katibu wa CCM Wilaya ya Ubungo Chifu Sylvester Yaredi, leo jumatano julai 15 akikabidhi fomu ya ya kuomba ridhaa ya Kuwania nafasi ya Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi kwa Elizabeth Jackson. BINTI MDOGO NA MJASILIAMALI 'Elizabeth Jackson'...
Share:

BI JESSICA MOTTO KUJITOSA KUGOMBEA UDIWANI KATA BUYUNI CHANIKA

Kada kindakindaki wa CCM Jessica Motto  akionesha fomu yake mara baada yakukabidhiwa Katibu Kata wa Chama cha Mapinduzi CCM kata ya Buyuni Chanika, Juma Mnambiya akitoa maelekezo ya jinsi yakujaza fomu hiyo. Jessica Motto  akiwa katika picha...
Share:

WANAWAKE WA KATA YA BONYOKWA WALAMBA DUME

Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa Bonyokwa Malyatabu akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa WOMEN  TAP yenye lengo la kuinua wanawake kiuchumi na uongozi bora. Muhasisi wa WOMEN TAP ambae pia ni Rais wa Vicoba Tanzania Bi.Devotha Likokola akizungumza...
Share:

NBC YADHAMINI MAONESHO SABASABA KWA MWAKA WA TATU MFULULIZO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (kulia), akiangalia baadhi ya vifaa vinavyotengenezwa na Kampuni ya Uzalishaji wa fenicha na Uuzaji wa mashine ya Azienda Group Limited, katika banda la wajasiriamali wadogo na wa kati lililodhaminiwa na benki ya NBC wakati wa ufunguzi wa...
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Blog Archive

Labels

Blog Archive