Barclays hosts an iftar to its staff in Dar

Barclays Bank Tanzania Managing Director, Abdi Mohamed (centre), talking to some banks workers to an iftar meal hosted by the bank for its staff  in Dar es Salaam recently. Barclays Bank Marketing Manager, Joe Bendera (left), talks to some bank’s workers in an iftar...
Share:

WAITARA AFANYA UKAGUZI WA UJENZI WA MIUNDO MBINU UKONGA

Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara (kulia) akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wakazi wa Beach Pemba kata ya Mzinga jijini Dar es Salaam jana katika ziara yake ya ukaguzi wa miundo mbinu inayotengenezwa  pamoja na kusiliza kero za wakazi wa kata hiyo.Moja...
Share:

Tanga Cement yajenga wodi ya wazazi Hospitali ya Wilaya ya Handeni

Meneja Uzalishaji wa Kampuni ya Tanga Cement (TCPLC), Mhandisi Ben Lema (wa pili kulia), akishikana mikono na Katibu Tawala wa Wilaya ya Handeni,Upendo Magashi, katika hafla ambayo kampuni hiyo ilikabidhi jengo la wodi ya daraja la kwanza la hospitali ya wilaya hiyo pamoja...
Share:

Tanzia : MSANII SAM WA UKWELI AFARIKI DUNIA

Usiku wa June 6, 2018 Muimbaji Sam wa Ukweli aliyevuma kwa wimbo wa 'Hata kwetu wapo' amefariki dunia baada ya kuzidiwa ghafla akiwa studio, na kupelekwa katika hospitali ya Mwananyamala Jijini Dar es salaam huku Producer wake Steve aliyekuwa akifanya kazi na Msanii huyo...
Share:

Rais Shein aipongeza Benki ya NBC

Rais wa Zanzibar  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohammed Shein (wa pili kushoto), akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Theobald Sabi katika hafla ya futari iliyoandaliwa na benki hiyo kwa wateja wake mjini Zanzibari...
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Blog Archive

Labels

Blog Archive