
Meneja Uzalishaji wa Kampuni ya
Tanga Cement (TCPLC), Mhandisi Ben Lema (wa pili kulia), akishikana mikono na
Katibu Tawala wa Wilaya ya Handeni,Upendo Magashi, katika hafla ambayo kampuni
hiyo ilikabidhi jengo la wodi ya
daraja la kwanza
la hospitali ya wilaya hiyo pamoja...