TANZANIA COMMERCIAL BANK YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USALAMA BARABARANI

 Mkurugenzi wa Masoko na ukuzaji biashara wa Benki ya Biashara ya Tanzania Commercial Bank TCB Deogratius Kwiyukwa (kushoto), akishikana mikono na Mkuu wa Kitengo cha Usalama Barabarani Wilaya ya Kinondoni Notkey Kilewa, wakati wa hafla yakukabidhi msaada wa vifaa vya kuongezea...
Share:

WAKAZI WA MBINGA WAIPOKEA KWA BASHASHA TANZANIA COMMERCIAL BANK YAZIDUA TAWI JIPYA

 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brig. Jenerali Wilbert Ibuge (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa tawi jipya la Tanzania Commercial Bank lililofunguliwa katika barabara ya mkibili mjini Mbinga mkoani Ruvuma ikiwa ni tawi la tatu la benki hiyo katika mkoa huo kushoto...
Share:

Wakazi wa Buza Kanisani walalamikia Uchafuzi wa Mazingira wa Sauti

  Wakazi wa Buza Kanisani, Mtaa wa Amani, wamelamikia mfanyanya biashara kwa kujenga ukumbi wa sherehe katika eneo la makazi (residentional) , jambo linalosabisha uchafuzi mkubwa wa mazingira kwa njia ya sauti kutokana kelele zinatoka katika ukumbi huo. Wanamshutumu...
Share:

TANZANIA COMMERCIAL BANK YATINGA KIGAMBONI YAFUNGUA TAWI JIPYA LA KISASA

 MKUU wa Wilaya ya Kigamboni, Fatuma Almasi Nyangassa, ameiomba benki ya Tanzania Commercial Bank (TCB) kupanua wigo wa huduma zake katika wilaya hiyo ili kuwawezesha wajasiliamali kufikiwa huduma za kibenki na hivyo kupata fursa ya kujikwamua kiuchumi.Nyangassa ameyasema...
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Blog Archive

Labels