NBC yadhamini Maonesho ya Viwanda na Kongamano la Uwekezaji Ruvuma

Naibu Waziri  wa Wizara ya Viwanda,  Biashara na Uwekezaji Mhandisi Stella Manyaya (kulia), akisalimiana na Meneja wa Benki ya NBC Tawi la Songea, Simon Ntwale, wakati wa Maonesho ya Viwanda na Kongamano la Uwekezaji Ruvuma ambayo NBC ilikuwa ni mmoja wa wadhamini....
Share:

Uzinduzi wa reli ya Tanga- Moshi utaongeza kipato kwa mikoa ya kaskazini

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigela (kulia), akimsikiliza Meneja Kiwanda cha Kampuni ya Tanga Cement (TCPLC), Mhandisi Ben Lema (wa pili kushoto) katika hafla ya ufunguzi wa safari za treni za mizigo katika reli ya Dar- Tanga- Kilimanjaro uliofanyika mjini Moshi, Kilimanjaro...
Share:

BENKI YA NBC YATOA SHILINGI BILIONI 2.1 KUKOPESHA WASTAAFU

Meneja wa Kanda ya Mashariki wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Venance Mashiba (wa pili kulia), na Mkurugenzi Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Gaudence Shawa (kulia kwake), wakikata keki kusherehekea uzinduzi rasmi tawi jipya la Benki ya NBC Tegeta katika jengo la Kibo...
Share:

TIMU ZILIZOFUZU KWENDA NUSU FAINALI KOMBE LA PROPHET SUGUYE ZATAMBIANA

Beki wa Msongola Joging FC Mark Mome, akimdhibiti Mshambuliaji wa Fair Play FC wakati wa mchezo wa ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika viwanja vya shule ya Msingi Misitu Kivule ambapo katika mchezo huo Fair Play iliibuka na ushindi wa 7-6 kwa mikwajui ya penati...
Share:

LIGI YA PROPHET SUGUYE YAFIKIA HATUA YA ROBO FAINALI UKIPIGWA NJE

Beki wa machimbo FC Ekson Kavali, (katikati), akijaribu kumtoka Mshambuliaji wa Magereza FC, Frank William (kushoto), wakati wa mchezo wa ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika viwanja vya shule ya Msingi Misitu Kivule, ambapo katika mchezo huo Magereza iliibuka...
Share:

BENKI YA BIASHARA YA DCB YAJIKITA KWENYE VIWANDA NA KILIMO YAJA NA BIDHAA MAHUSUSI IJULIKANAYO DCB SOKONI KUWAWEZESHA WATANZANIA KIUCHUMI

Mkurugenzi wa Biashara wa Benki ya DCB, James Ngaluko (kulia) na Mkurugenzi wa kiwanda cha kukoboa mpunga cha Kayuni, Callington Kayuni (kushoto) wakiangalia mchele baada ya kutoka katika mashine wakati wa uzinduzi wa kiwanda hicho kilichojengwa kwa mkopo kutoka DCB. Uzinduzi...
Share:

TLED yawawezesha Wajasiriamali wadogo kushiriki maonyesho ya SABASABA

Afisa Mawasiliano wa Mradi wa TLED Jemima Michael (katikati),  akipata maelezo kutoka kwa mmoja mjasiliamali mdogo na wawanufaika wa mradi huo Anchila Petro (kulia), wakati wa maonyesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam katika Viwanja vya Sabasaba...
Share:

Benki ya NBC yangara maonesho ya Sabasaba, yatwaa tuzo ya mshindi wa kwanza taasisi za kifedha

Makamu wa Rais,Samia Suluhu Hassan (kushoto) akilakiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi kabla hajatembelea banda ya benki hiyo katika maonyesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam katika Viwanja vya Sabasaba yaliyofunguliwa rasmi jijini Dar...
Share:

ROBO FAINALI YANUKIA LIGI YA PROPHET SUGUYE CUP

Kiungo na mshambuliaji wa Stone town FC, Mpoki  Jeremia, akijaribu kumtoka beki wa Relini FC, wakati wa mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye  Cup inayoendelea katika viwanja vya  Shule ya Msingi Kivule Jijini  Dar es Salaam ambapo Relini...
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Blog Archive

Labels

Blog Archive