
Mkuu wa Kitengo cha Shughuli za Kibenki wa Benki ya Absa Tanzania, Alred Urasa (kushoto), akizungumza wakati wa mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara wa Afrika Kusini nchini Tanzania (SABFT), uliodhaminiwa na benki hiyo, jijini Dar es Salaam jana. SABFT moja...