
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa dkt Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa shule ya msingi Muyama mara baada ya gafla ya kupokea vyumba vitatu vya madarasani ofisi mbili za walimu na Samani mbalimbali za maofisini yaliokabidhiwa...