Na Mwandishi WetuMKURUGENZI Mkuu wa Kampuni ya Wikicha Estate Development Agency inayosimamia na kumiliki shughuli zote zinazofanywa kwenye kiwanja namba 48766 kilichopo Ukonga eneo la Banana jiini Dar es Salaam mzee Wilson Kiguha Chacha afunguka kuwa vijana wake hawakuhusika na uvunjaji wa baa ya Big Mountein.Akizungumza na mwandishi wa habari...