
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar, Jamali Kassim Ali (katikati), akikabidhi tuzo kwa Ofisa Fedha Mkuu wa Benki ya DCB, Costantine Mtumbuka jijini Dar es Salaam hivi karibuni baada ya benki hiyo kuibuka mshindi wa kwanza wa uandaaji bora wa hesabu kwa mwaka 2021 katika...