WIKI YA AZAKI 2021 KUFANYIKA JIJINI DODOMA, WADAU WAKUTANA KUFANYA UZINDUZI RASMI DSM

  Mbunge Neema Lugangira (kushoto) akipiga makofi mara baada ya kufanyika uzinduzi rasmi wa wiki ya Azaki uliofanyika Jijini dar es Salaa, (wa kwanza kulia) ni Mgeni Rasmi katika uzinduzi huo Msajili wa Asasi za Kiraia nchini, Vickness Mayao (katikati yake) ni Rais...
Share:

BENKI YA SERIKALI YA BIASHARA TCB YAZINDULIWA RASMI

 Waziri wa Fedha na Mipango, Mheshimiwa Dkt.  Mwigulu Lameck Nchemba (Mb).  wa pili (kushoto), akibonyeza ripoti kuashiria uzinduzi rasmi wa Muonekano  mpya wa jina na Nembo mpya ya Benki mpya ya  Serikali ya Biashara Tanzania Commercial...
Share:

Yaraconnect Ya Kampuni Ya Mbolea Ya Yara Kuleta Suluhisho La Kidigitali Katika Sekta Ya Kilimo Nchini

 Katibu Tawala Msaidizi, Uchumi na Uzalishaji wa Mbeya, Said Maditto ( kushoto), akizungumza na wauza pembejeo za kilimo wa Mkoa wa Mbeya na Songwe na wadau wengine wa mbolea ya Yara wakati wa uzinduzi wa programu ya yaraConnect mjini Mbeya leo. Alimwakilisha mkuu wa mkoa...
Share:

Dk Batilda Aipongeza Yara Kuwezesha Kilimo Kidigitali

      Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Balozi Dk. Batilda Burian akitoa hotuba kuzindua program ya yaraConnect ya Kampuni ya mbolea ya Yara, inayolenga katika kutoa elimu ya utaalamu wa kilimo katika hafla iliyofanyika mkoani humo jana. Kushoto kwake ni Mkuu wa Wilata...
Share:

WAZIRI GWAJIMA AZINDUA BARAZA JIPYA LA NACONGO ATOA MAAGIZO

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.Doroth Gwajima, akizungumza wakati akipokea taarifa na kuzindua Baraza la Taifa la Mashirika Yasiyokuwa ya kiserikali (NaCONGO) iliyofanyika leo Julai 10, 2021 jijini Dodoma.Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo...
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Blog Archive

Labels