
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Kazi,Vijana, na Wenye Ulemavu Mh. Jenista Mhagama (MB), akihutubia wageni waalikwa wakati wa kumpongeza na kumuaga Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) Dkt. Aggrey Mlimuka, ambaye amemaliza...