ACEX CEO URGES LOCAL INVESTORS TO USE DIGITAL PLATFORM IN TRADING EFFECTIVELY

     African Consolidated Exchange (ACEX) Chief Executive Officer, Peter Mucheru (right), toasts with some of Acex's co-workers, during the official launching of unified exchange platform, ACEX that will allow people to buy and sell assets such as stocks,...
Share:

KP MOTORZ YANG’ARISHA FAMILIA MARATHON 2021 YAKABIDHI GARI KWA MSINDI WA KM 21 WANAWAKE

    Mkuu wa Mauzo na Uendeshaji wa Kampuni ya Kuagiza na Kuuza Magari ya KP Motorz, Lucas Mwamfupe (kulia), akikabidhi funguo ya gari jipya aina ya Toyota Passo lenye thamani ya shs milioni 9.5 kwa mshindi wa kwanza wa KM 21 Wanawake wa mbio za Familia Marathon...
Share:

FAMILIA MARATHON 2021 KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI DISEMBA 11

Mwenyekiti wa mbio za Familia Marathon 2021, Bi. Francisca Alphonce (wa tatu Kulia), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu mbio hizo zinazotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam Disemba 11, jumamosi. Wengine ni wawakilishi wa Kampuni zinazodhamini...
Share:

WADAU WAKOSHWA NA HUDUMA ZINAZOTOLEWA NA BENKI YA TCB

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Fatma Nyangassa (kulia), akizungumza na wafanyakazi wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB), alipotembelea kwenye banda la lao, wakati wa uzinduzi rasmi wa Maonesho ya Wiki ya Huduma za kifedha yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar...
Share:

BENKI YA TCB YATINGA MWANZA YAWAFUNDA WANAWAKE WAJASIRIAMALI.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa wa Benki ya Biashara ya Tanzania TCB Bw Moses Manyatta, akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi rasmi wa kongamano lenye lengo la kutoa elimu ya ujasiriamali kwa wanawake wafanya biashara lililoandaliwa na Benki ya TCB kwaajili ya kuwainua na kuwawezesha...
Share:

BENKI YA TCB YAAZIMISHA WIKI YA MTEJA KWA KUTOA VYETI KWA WATEJA WAKE

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB), Bw Sabasaba Moshingi, (wa pili kulia) akiongoza zoezi la kugongesha glasi kuashiria upendo na furaha kwa wateja wa benki hiyo wakati hafla ya uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja iliyofanyika leo Jumatano Oktoba 6, 2021...
Share:

ATE INA MATUMAINI THABITI YA KUTEKELEZA MALENGO NA DIRA YAKE KATIKA USAWA WA KIJINSIA

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Kazi,Vijana, na Wenye Ulemavu Mh. Jenista Mhagama (MB), akihutubia wageni waalikwa wakati wa kumpongeza na kumuaga Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) Dkt. Aggrey Mlimuka, ambaye amemaliza...
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Blog Archive

Labels

Blog Archive