
Nabii Nicolaus Suguye akisaini moja ya Kitambaa cha muumini wa Kanisa hilo
Na Mwandishi wetu,
KATIKA jambo lililowashangaza wengi, ndani ya Kanisa la WRM lillopo Kivule Matembele ya Pili, Ukonga, jijini Dar es Salaam, Kiongozi na Msimamizi Mkuu wa huduma hiyo, Nabii...