Nabii SUGUYE atia SAINI leso za WAUMINI

Nabii Nicolaus Suguye akisaini moja ya Kitambaa cha muumini wa Kanisa hilo Na Mwandishi wetu, KATIKA jambo lililowashangaza wengi, ndani ya Kanisa la WRM lillopo Kivule Matembele ya Pili, Ukonga, jijini Dar es Salaam, Kiongozi na Msimamizi Mkuu wa huduma hiyo, Nabii...
Share:

Washindi wa Ongeza Mshahara Wako na Absa Tanzania wapatikana

Mkuu wa Bidhaa kwa Wateja Rejareja wa Benki ya Absa Tanzania, Heristraton Genesis (wa pili kushoto), akichukua tiketi, ili kumpata mmoja wa washindi wa droo ya kwanza ya promosheni ya akaunti ya mshahara ya benki hiyo iliyopewa jina la ‘Ongeza Mshahara wako’ jijini Dar es...
Share:

Wafanyakazi wanawake wa Jubilee Insurance na Jubilee Life insurance waadhimisha Siku ya Wanawake kwa kutoa misaada Hospitali ya Mwananyamala

Muuguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mwananyamala, Rose Musa (wa tatu kushoto), akipokea msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo sabuni, mashuka na mataulo ya kike vilivyotolewa na wafanyakazi wa Kampuni ya Bima ya Jubilee Insurance na Jubilee Life Insurance kwa kusaidia wanawake...
Share:

SCANIA IKO TAYARI KULETA MABASI YANAYOTUMIA GESI YA ASILI NCHINI TANZANIA

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya magari ya Scania Tanzania Ltd, Lars Eklund, akizungumza wakakati wa  kampuni hiyo kutangaza kuleta mabasi yatumiayo gesi asilia ambayo ni bora kwa soko la Tanzania hasa kwa usafiri wa umma (Bus RapidTransit) hafla hiyo ilifanyika katika...
Share:

Absa workplace gender equality initiative receives accolades

Minister of State in Prime Minister’s Office (Investment), Hon Angela Kairuki (left), is ushered in by Absa Bank Tanzania Managing Director, Abdi Mohamed at Hyatt Kilimanjaro Hotel in Dar es Salaam last Friday where she officiated at the Absa women empowerment forum together...
Share:

Absa Bank Tanzania sponsors celebrated local golfer

Absa Bank Tanzania Managing Director, Abdi Mohamed hands over a box contains some golf sports gears and travelling documents to Tanzania renowned golf player, Victor Mbunda (left), on his mission as Tanzania’s flag-bearer in the coming Kenya Open Golf Championship...
Share:

Mwanamke ni kiungo katika uhifadhi wa mazingira

Catherine Kahuka (kushoto) na Gloria Wangeleja (kulia), wawakilishi kutoka taasisi ya PLPDF kupitia Shirika la Uhifadhi Mazingira Daniani (WWF), ofisi ya Tanzania wakipanda mtiti. Na Asha Mwakyonde SHIRIKA la Uhifadhi wa Mazingira  Duniani (WWF), ofisi ya Dar es...
Share:

UMOJA WA WANAWAKE KITUNDA WAFANYA ZIARA KUTEMBELEA WENYE UHITAJI MAALUM

Afisa Maendeleo kata ya Kitunda, Sosina Soka (wa pili kushoto), Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO), Anna Haule pamoja na Wanachama wa Umoja wa Wanawake wa Kata ya Kitunda akikabidhi msaada wa taulo za wasichana...
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Blog Archive

Labels

Blog Archive