Ligi ya Prophet Suguye Cup yaanza kwa kasi Kivule Forest FC yaichabanga Professional FC

Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP, akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa mashindano hayo katika viwanja vya Misitu vilivyopo Kivule matembele ya pili jijini Dar es Salaam jumamosi tarehe 25.5.2019




Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP, akimlisha keki mmoja wa wageni waliohudhuria ufunguzi wa mashindano hayo Diwani wa Rukoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba Mh. Murshidi Hashimu Ngeze wakati wa ufunguzi rasmi wa mashindano hayo katika viwanja vya Misitu vilivyopo Kivule matembele ya pili jijini Dar es Salaam jumamosi ya tarehe 25.5.2019

Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP akipiga penati kuashiria uzinduzi rasmi wa mashindsano hayo yaliyoanza rasmi jumamosi ya tarehe 25.5.2019
Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP akipiga penati kuashiria uzinduzi rasmi wa mashindsano hayo yaliyoanza rasmi jumamosi ya tarehe 25.5.2019
Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP akipiga penati kuashiria uzinduzi rasmi wa mashindsano hayo yaliyoanza rasmi jumamosi ya tarehe 25.5.2019
Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP akitoka kupiga penati kuashiria uzinduzi rasmi wa mashindsano hayo yaliyoanza rasmi jumamosi ya tarehe 25.5.2019
Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP, akimlisha keki mmoja wa wageni waliohudhuria ufunguzi wa mashindano hayo Diwani wa Rukoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba Mh. Murshidi Hashimu Ngeze wakati wa ufunguzi rasmi wa mashindano hayo katika viwanja vya Misitu vilivyopo Kivule matembele ya pili jijini Dar es Salaam jumamosi ya tarehe 25.5.2019
Mamia ya mashabiki na wananchi wa Kivule waliomiminika viwanjani hapo kushuhudia mtanange huo. Mchezo ambao Kivule Forest Wametoka kidedea kwa magoli matatu dhidi ya magoli mawili ya Professional FC.
Mamia ya mashabiki na wananchi wa Kivule waliomiminika viwanjani hapo kushuhudia mtanange huo. Mchezo ambao Kivule Forest Wametoka kidedea kwa magoli matatu dhidi ya magoli mawili ya Professional FC.
Mamia ya mashabiki na wananchi wa Kivule waliomiminika viwanjani hapo kushuhudia mtanange huo. Mchezo ambao Kivule Forest Wametoka kidedea kwa magoli matatu dhidi ya magoli mawili ya Professional FC.
Baadhi ya viongozi wa mchezo referee pamoja na raise woman wakiwa kazini katika mchezo wa ufunguzi kati ya Kivule fc pamoja na Professional fc. Mchezo ambao Kivule wameibuka na ushindi wa magoli ma 3 kwa ma 2 ya Professional FC.
Baadhi ya viongozi wa mchezo referee pamoja na raise woman wakiwa kazini katika mchezo wa ufunguzi kati ya Kivule fc pamoja na Professional FC. Mchezo ambao Kivule wameibuka na ushindi wa magoli ma 3 kwa ma 2 ya Professional FC.
Baadhi ya viongozi wa mchezo referee pamoja na raise woman wakiwa kazini katika mchezo wa ufunguzi kati ya Kivule fc pamoja na Professional FC. Mchezo ambao Kivule wameibuka na ushindi wa magoli ma 3 kwa ma 2 ya Professional FC.
Baadhi ya viongozi wa mchezo referee pamoja na raise woman wakiwa kazini katika mchezo wa ufunguzi kati ya Kivule fc pamoja na Professional FC. Mchezo ambao Kivule wameibuka na ushindi wa magoli ma 3 kwa ma 2 ya Professional FC.
Manahoza wa timu ya Kivule Forest pamoja na Professional FC wakiwa katika picha ya pamoja na waamuzi siku ya kwanza ya mashindano ya Prophet Suguye Cup.
Manahoza wa timu ya Kivule Forest pamoja na Professional FC wakisalimiana kuonyesha tendo la Fair Play huku waamuzi kwakishuhudia kitendo hicho siku ya kwanza ya mashindano ya Prophet Suguye Cup.
Baadhi ya wachezaji wa Professional FC wakiwa ndani ya uwanja wa misitu ama kerezange tayari kuanza mechi ya ufunguzi wa mashindano ya Prophet Suguye Cup.
Mtanange kati ya Kivule Forest dhidi ya Professional FC ndani ya viwanja vya Misitu. Kivule forest wameshinda 3 dhidi ya 2 ya Professional FC.
Mtanange kati ya Kivule Forest dhidi ya Professional FC ndani ya viwanja vya Misitu. Kivule forest wameshinda 3 dhidi ya 2 ya Professional FC.
Baadhi ya wachezaji wa Kivule Forest FC pamoja wakiwa ndani ya uwanja wa misitu ama kerezange tayari kuanza mechi ya ufunguzi wa mashindano ya Prophet Suguye Cup.

Mtanange kati ya Kivule Forest dhidi ya Professional FC ndani ya viwanja vya Misitu. Kivule forest wameshinda 3 dhidi ya 2 ya Professional FC.

Mwangalizi mkuu wa WRM Church na Mwanzilishi wa Prophet Suguye Cup akiwasalimia wachezaji siku ya Ufunguzi wa mashindano.
Share:

Tanga Cement yasaidia ujenzi wa madarasa Holili

Meneja Uendeshaji wa Kampuni ya Tanga Cement (TCPLC), Godwin Kamando (kushoto), akikabidhi msaada  wa mifuko 300 ya saruji yenye thamani zaidi ya  shs Milioni 3,388,488 kwa  Ofisa Mtendaji wa kata ya Holili, Fadhili Buzebuze (Ward Executive Officer) (watatu kulia) na Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Holili, Paschal Ntomola kwa ajili ya ujenzi wa Vyumba 10 vya madarasa, Ofisi 2  na nyumba 2 za walimu wa Shule ya Msingi Holili iliyopo wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro. Hafla ya makabidhiano  ilifanyika  kiwandani hapo Pongwe, Tanga jana. Wengine ni Maofisa wa kampuni hiyo.
Meneja Afya, Usalama na Mazingira wa Kampuni ya Tanga Cement (TCPLC), Emmanuel Ntoma (wa pili kushoto) akikabidhi msaada  wa mifuko 300 ya saruji yenye thamani zaidi ya  shs 3,388,488 kwa Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Holili, Paschal Ntomola (kulia) kwa ajili ya ujenzi wa Vyumba 10 vya madarasa, Ofisi 2  na nyumba 2 za walimu wa Shule ya Msingi Holili iliyopo wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro. Hafla ya makabidhiano  ilifanyika  kiwandani hapo Pongwe, Tanga jana. Wapili kulia ni Ofisa Mtendaji wa kata ya Holili, Fadhili Buzebuze na Wengine ni maofisa wa kampuni hiyo. 

Meneja Ugavi wa Kampuni ya Tanga Cement (TCPLC), Livin Masawe  (wa pili kushoto), akikabidhi msaada  wa mifuko 300 ya saruji yenye thamani zaidi ya  shs Milioni 3,388,488 kwa Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Holili, Paschal Ntomola (wapili kulia) kwa ajili ya ujenzi wa Vyumba 10 vya madarasa, Ofisi 2  na nyumba 2 za walimu wa Shule ya Msingi Holili iliyopo wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro. Hafla ya makabidhiano  ilifanyika  kiwandani hapo Pongwe, Tanga jana.Watatu kulia ni Ofisa Mtendaji wa kata ya Holili, Fadhili Buzebuze na Wengine ni Maofisa wa kampuni hiyo. 

Meneja Meneja Mauzo wa Mkoa wa Tanga wa Kampuni ya Tanga Cement (TCPLC), Issa Ndomondo(wa pili kushoto), akikabidhi msaada  wa mifuko 300 ya saruji yenye thamani zaidi ya  shs 3,388,488 kwa Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Holili, Paschal Ntomola (kulia) kwa ajili ya ujenzi wa Vyumba 10 vya madarasa, Ofisi 2  na nyumba 2 za walimu wa Shule ya Msingi Holili iliyopo wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro. Hafla ya makabidhiano  ilifanyika  kiwandani hapo Pongwe, Tanga jana.Wapili kulia ni Ofisa Mtendaji wa kata ya Holili, Fadhili Buzebuze na Wengine ni Maofisa wa kampuni hiyo.
Share:

WAZIRI WA AFYA AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA JIMBO LA XUZHOU LA CHINA

Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashid Mohamed akizungumza na ujumbe kutoka Mji wa Xuzhou Nchini China uliokuja kufanya tathmini ya Madaktari wa nchi hiyo wanaokuja kufanya kazi Zanzibar Ofisini kwake Mnazimmoja Mjini Zanzibar.
Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashid Mohamed akiagana na Kiongozi wa ujumbe kutoka Mji Xuzhou Nchini China Zhou Guangchum baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika Ofisini kwake.
Na Ramadhani Ali - Maelezo Zanzibar
Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashid Mohamed ameiomba Jamhuri ya Watu wa China kurejesha utaratibu wa madaktari wa nchi hiyo wanaokuja kufanyakazi Zanzibar kukaa miaka miwili badala ya mwaka mmoja wa sasa.
Alisema tokea kuanzisha uhusiano wa madaktari wa China kuja Zanzibar mwaka 1965 walikuwa wakikaa kipindi cha miaka miwili lakini utaratibu huo ulibadilika miaka ya hivi karibuni na hivi sasa wanakaa mwaka mmoja.
Waziri wa Afya alitoa ombi hilo alipokutana na Ujumbe wa wataalamu wa afya kutoka Mji wa Xuzhou ambao upo nchini kufanya tathmini ya Madaktari wanaokuja kufanyakazi Zanzibar katika hospitali ya Abdlala Mzee Mkoani na Mnazimmoja.
Aliueleza ujumbe huo kwamba utaratibu wa zamani wa timu za madaktari wa China kukaa miaka miwili ulikuwa unatoa fursa nzuri kwa madaktari wa Zanzibar kujenga uzoefu na kujifunza mambo mengi ya kitaalamu kutoka kwao.
Alisema madaktari wa Zanzibar wanapopata uzoefu kwa vitendo kutoka kwa madaktari wa China inawasaidia kufanya vizuri wanapopata nafasi ya masomo ya juu nje ya nchi.
Waziri Hamad aliushauri ujumbe huo kuwaelekeza madaktari wa China waliopo Zanzibar kuwapa mafunzo madaktari wa Hospitali ya Abdalla Mzee ya kutumia mashine mpya zilizowekwa katika hospitali hiyo na kuitafsiri teknolojia iliyotumika ili baada ya kuondoka waweze kuzitumia.
Aidha Waziri wa Afya aliwahimiza madaktari wazalendo kuwa tayari kujifunza utaalamu kutoka madaktari wa China ambao wamekuwa wakifanya matibabu ya kitaalamu na kuwashirikisha.
Kiongozi wa ujumbe huo Zhou Guangchum alimuhakikishia Waziri wa Afya kwamba nchi yake itaendelea kuisaidia Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na kuongeza msaada wake hasa katika sekta ya afya.
Aliahidi kuwa atalifikisha nchini kwake ombi la kurejesha utaratibu wa zamani wa madaktari wanaokuja Zanzibar kukaa kwa kipindi cha miaka miwili ili waweze kutoa mchango mkubwa zaidi kwa ndugu zao.
Share:

Barclays Bank organizes an Iftar dinner for customers in Dar

Dar es Salaam Regional Sheikh,  Alhad Mussa Salum addresses the audience during an iftar hosted by Barclays Bank Tanzania to its customers in Dar es Salaam at the weekend.
Dar es Salaam Regional Sheikh,  Alhad Mussa Salum (right), Barclays Bank Tanzania Managing Director, Abdi Mohamed (second right) together with some invited guests serving food during an iftar hosted by the bank to its customers in Dar es Salaam.
Barclays Bank Head of Communications and Corporate Relations, Aron Luhanga (left) chats to Dar es Salaam Regional Sheikh, Alhad Mussa Salum (right), during and iftar hosted by BBT to its customers in Dar es Salaam recently. Second right is the Information Director at the regional sheikh office, Tabu Kawambwa.
Barclays Bank Citizenship Manager, Hellen Siria (right) serves an iftar meal to some invitees at a function hosted by BBT to its customers in Dar es Salaam.
Barclays Bank Tanzania Managing Director, Abdi Mohamed (centre), together with some invited guests, breaking the fast at an occasion hosted by the bank to its customers in Dar es Salaam recently.
Some invite guests breaking the fast at an occasion hosted by Barclays Bank Tanzania in Dar es Salaam recently.
Share:

SERIKALI YAIPONGEZA BENKI YA DCB KWA KUFANIKISHA ZOEZI LA UUZAJI WA HISA KWA UFANISI

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji akizungumza jijini Dar es Salaam leo wakati wa hafla ya Uorodheshwaji wa Hisa za Benki ya Biashara ya DCB katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE). Hii inatokana na kukamilika kwa zoezi la uuzwaji wa hisa hizo kwa umma na kwa wanahisa lililokamilika hivi karibuni kwa ufanisi. Wengine kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Bodi ya DCB, Prof. Lucian Msambichaka, Meya wa Dar es Salaam, Isaya Mwita, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana, Nicodemus Mkama na Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa akizungumza jijini Dar es Salaam leo wakati wa hafla ya Uorodheshwaji wa Hisa za Benki ya Biashara ya DCB katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE). Hii inatokana na kukamilika kwa zoezi la uuzwaji wa hisa hizo kwa umma na kwa wanahisa lililokamilika hivi karibuni kwa ufanisi.
Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Biashara ya DCB, Prof. Lucian Msambichaka, akizungumza jijini Dar es Salaam leo wakati wa hafla ya Uorodheshwaji wa Hisa za Benki ya Biashara ya DCB katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE). Hii inatokana na kukamilika kwa zoezi la uuzwaji wa hisa hizo kwa umma na kwa wanahisa lililokamilika hivi karibuni kwa ufanisi.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE), Moremi Marwa akizungumza katika hafla hiyo.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana, Nicodemus Mkama akizungumza katika hafla hiyo.
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita akizungumza katika hafla hiyo.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji akigonga kengele kuashiria tukio la Uorodheshwaji wa Hisa za Benki ya Biashara ya DCB katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) jijini Dar es Salaam leo.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji (kulia) akishikana mikono na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Biashara ya DCB, Prof. Lucian Msambichaka wakati wa hafla ya Uorodheshwaji wa Hisa za Benki hiyo katika Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE). Katikati ni Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita. 
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita (wa pili kulia), Meya wa Ubungo, Boniface Jacob (kushoto), na Mwenyekiti wa Bodi ya DCB, Prof. Lucian Msambichaka wakifurahi wakati Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu kijaji (kulia), akizungumza nao baada ya kukamilika kwa tukio la uorodheshwaji wa hisa za DCB katika Soko la Hisa la Dar es Salaam jijini humo leo.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji (Wanne kushoto), akipiga picha ya pamoja na maofisa wa DSE, DCB na wageni wengine waalikwa mara baada ya kukamilika kwa hafla hiyo.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji (katikati), akipiga picha ya Pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Biashara ya DCB, Prof. Lucian Msambichaka (kutoka kushoto), Meya wa Ubungo, Boniface Jacob, Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana, Nicodemus Mkama, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE), Moremi Marwa mara baada ya kukamilika kwa tukio la Uorodheshwaji wa hisa za Benki ya Biashara ya DCB katika Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE).

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji, ameipongeza benki ya biashara DCB kwa kufanikisha zoezi la uuzaji wa hisa zake kwa ufanisi mkubwa.

Pongezi hizo amezitoa jijini Dar es Salaam leo katika hafla ya uorodheshwaji wa hisa za DCB katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE).

“Wizara ya fedha na mipango inajivunia mafanikio ya Benki ya Biashara ya DCB, ambayo wamiliki wake wakubwa ni Halmashauri zetu hususani Manipaa ya Dar es Salaam pamoja na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam” alisema Mheshimiwa Naibu waziri.

Alisema anafarijika kuona mshikamano uliopo kati ya Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana, DSE, Benki Kuu ya Tanzania, Kampuni ya Ushauri katika Masoko ya Mitaji na Dhamana na mawakala wa uuzaji wa Hisa katika kuisaidia benki kufanikisha malengo yake ya kuongeza mtaji kwa kuuza hisa zake kwa umma. 

“Uuzaji wa hisa kupitia Soko la Hisa la Dar es Salaam, ndio njia sahihi ya kuongeza mtaji, na pia kuwamilikisha wananchi wa kawaida uchumi wa Taifa lao” 

Naibu Waziri huyo aliongeza kuwa serikali inajivunia uwekezaji wa Benki ya biashara ya DCB kwa kuwa ni uwekezaji wa ndani, na uwekezaji huu umewezekana kwa sababu serikali imetimiza kwa vitendo wajibu na adhima yake ya kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji kwa wadau wake. 

Pamoja na hayo alisema DCB imefanikiwa kuuza hisa milioni 36.6, ikiwa ni zaidi ya malengo ya awali ya kuuza hisa milioni 33.9, hadi kukamilika kwa zoezi la uuzaji hisa benki imefanikiwa kukusanya sh. Bilioni 9.7 sawa na asilimia 108.99 ya matarajio ya awali ya kukusanya shilingi Bilioni 8.9.

“Mauzo haya ya hisa yamefanyika kwa bei ya punguzo ya shilingi 265, badala ya bei ya soko ya shilingi 340 kwa hisa, sambamba na mafanikio haya, DCB imetangaza gawio la shilingi bilioni 1.6 kwa wanahisa wake katika mwaka 2018 na hivyo kufuta hasara ya shilingi bilini 6.0 iliyoripotiwa mwaka 2019,” aliongeza Naibu Waziri Ashatu. 

Akimkaribisha Mheshimiwa Naibu Waziri, Mwenyekiti wa Bodi ya DCB, Prof. Lucian Msambichaka alisema mafanikio katika mauzo ya hisa zao inadhihirisha imani waliyonayo wawekezaji wa benki ya DCB na masoko ya mitaji hapa nchini. Na kwa kupitia mauzo hayo mtaji wa DCB unatarajiwa kuongezeka kutoka shilingi bilioni 16.9 hadi kufikia shilingi bilioni 26.7 ikiwa ni ongezeko la asilimia 57.

“Lengo letu katika uongezaji mtaji ni kuhakikisha kuwa benki ina uwezo wa kuleta ushindani, sambamba na kuchochea ukuaji wa mageuzi makubwa ya kibenki yatakayoifanya benki iimarike zaidi,” alisema mwenyekiti wa bodi. 

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Bw. Godfrey Ndalahwa katika hafla hiyo alisema kupitia mpango mkakati wa mwaka 2018 na jitihada za wadau mbalimbali wa benki ya DCB, kwa mwaka wa fedha mwaka 2018 imefanikiwa kupata faida ghafi ya shilingi bilioni 1.6, ikilinganshwa na hasara ya shilingi bilioni 6.9 kwa mwaka 2017.

“Benki inaendelea na mipango ya serikali ya kuhakikisha wajasiriamali wadogo wadogo wanapata fursa, wanapata ufumbuzi wa kifedha wenye manufaa na wa gharama nafuu ambao hutimza mahitahi yao kulingana na mpango wa kimkakati wa benki.

“Benki itaendelea kujikita na uuzaji kwa bidhaa za mikopo ya nyumba na mikopo midogo midogo huku ikichagua soko la wajasiriamali wadogo, ikumbukwe lengo kuu la kuunzishwa benki ilikuwa kusaidia wajasiliamali wadogo kwa kutoa mikopo ya masharti nafuu…. napenda kutoa rai kwa halmashauri zote nchini kuwekeza katika benki yetu na kufanya biashara na benki ikiwemo kufungua akaunti za makusanyo ya mapato. Benki yetu ni chanzo kizuri cha uwekezaji ” aliongeza mkurugenzi huyo.

Aidha Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ua Mitaji na Dhamana (CMSA), Nicodemus Mkama alisema mafanikio ya yaliyotokana katika zoezi la uuzwaji hisa za Benki ya DCB, ni uthibitisho kwamba wapo watanzania wengi wanopenda kushiriki katika mfumo rasmi wa kifedha kwa kuwekeza katika masoko ya mitaji hivyo jitihada zaizi zinahitajika kuongeza bidhaa nyingi na uwekezaji katika masoko ya mitaji hapa nchini.

Zoezi la uuzaji wa Hisa za DCB lilizinduliwa Novemba 12 2018 nna kuhitimishwa Januari 31, 2019 ambapo hisa 36,635,435 ziliuzwa ikivuka kiwango cha hisa 33,913,948 zilizopangwa awali.
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Blog Archive

Labels

Recent Posts

Label Cloud

BIASHARA (275) BURUDANI (4) KIMATAIFA (10) KITAIFA (119) MICHEZO (38) SIASA (3)

Pages