Food vendors in Zanzibar ready to shine

Food vendors in Zanzibar equipped training and tools of trade courtesy of Coca-Cola Kwanza in partnership with OryxSunday Zanzibar April 28 2024– A group of more than 1,400 women in Unguja and Pemba have graduated from an economic inclusion programme, called Mwanamke Shujaa,...
Share:

KAMPUNI YA ORYX TANZANIA YAMKOSHA WAZIRI DK JAFO.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt.Selemeni Jafo (katikati), Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo ( wa kwanza kushoto) wakimkabidhi mtungi wa gesi ya kupikia wa Oryx mmoja wa mama lishe wa Mkoa wa Arusha wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi ya...
Share:

ORYX GAS YASHIRIKIANA NA DORIS MOLLEL FOUNDATION KUKABIDHI MITUNGI 1000 KWA WAUGUZI

KAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation wamekabidhi mitungi ya gesi ya kupikia ya Oryx 50 kwa wauguzi katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam kati ya mitungi 1000 inayotarajiwa kukabidhiwa kwa wauguzi na madaktari katika mikoa 10 nchini...
Share:

WAZIRI MCHENGERWA AZISHUKURU KAMPUNI YA ORYX NA ASAS KWAKUJITOA KUSAIDIA WAATHIRIKA WA MAFURIKO RUFIJI

      Mbunge wa Jimbo la Rufiji mkoani Pwani ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa (kulia), akipokea Moja ya msaada wa vitu mbalimbali vilivyotolewa na Kampuni ya Oryx pamoja na Asas kwaajili ya kusaidia...
Share:

KAMPUNI ya Gesi ya Oryx Tanzania imeahidi kuendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kulinda afya za watanzania

Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani Meja Edward Gowele(wa tatu kushoto) akimkabadhi mtungi wa gesi ya Oryx Furaha Mawikia wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi ya gesi na majiko yake 400 kwa wanawake wa vijiji vya Mwalusembe ,Kinene,Kitomondo...
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Blog Archive

Labels