TANZANIA COMMERCIA BANK YATOA MSAADA WA MIFUKO 100 YA SARUJI KUKAMILISHA UJENZI UKUTA WA CHUO CHA TIBA MTWARA

 Meneja wa Tanzania Commerical Bank Plc, Tawi la Newala Mkoa wa Mtwara Bw.Alex Minai (wapili Kushoto) akikabidhi sehemu ya msaada wa mifuko 100 ya Saruji kwa Mbunge wa jimbo la Newala Mhe. George Huruma Mkuchika iliyotolewa na Benki hiyo kwaajili ya kusaidia ujenzi wa ukuta...
Share:

MAENDELEO BANK PLC YAJIVUNIA KUWEKA REKODI MPYA YA MAFANIKIO

 Mkuu wa Kitengo cha Idara ya Biashara wa Maendeleo Bank, Emmanuel Mwaya akizungumza wanahabari pamoja na maofisa wa benki hiyo wakati akitangaza rekodi mpya ya mafanikio kuwa ni benki yenye faida kwa miaka nane mfululizo.hafla yakutangaza faida hiyo imefanyika makao makuu...
Share:

TANZANIA COMMERCIAL BANK YAFUTURISHA WATEJA WAKE JIJINI DAR ES SALAAM

    Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania Sheikh Dkt. Abubakar Zubeir Bin Ally (kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Commercia Bank Sabasaba Moshingi (watatu kushoto), wakiwaongoza wateja wa  pamoja na wafanyakazi wa benki hiyo kupata mlo wa futari uliyoandaliwa...
Share:

TCB YATOA MSAADA WA MADAWATI MKOANI TABORA

Mkuu wa wilaya ya Nzega Mh Naitapwaki Tukai akizungumza wakati wa hafla yakupokea msaada wa madawati 70 kwa shule ya msingi Nyasa iliyopo Wilaya ya Nzega mkoani Tabora yaliyotolewa na Tanzania Commercial Bank ikiwa ni sehemu ya kampeni ya Benki hiyo kuunga mkono juhudi za Serikali...
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Blog Archive

Labels