
Katibu Tawala Mkoa wa Kagera Prof: Faustin Kamuzora (wa pili kulia), akikata utepe wakati akikabidhiwa msaada wa jengo la madarasa, Vyoo, pamoja na Madawati mapya 50 lililokarabatiwa na Tanzania Commercial Bank (TCB) Hafla ya makabidhiano hayo yalifanyika katika Shule...