AVODA BLUE TANZANIA GRADUATES FIRST COHORT OF ENTREPRENEURS

Unleashed Africa Social Enterprises Acting Board Chairperson, Ms. Ngianasia Minja (second right), presents a certificate to Ms. Esther Kolimba, a graduand of the four-month AVODA Blue Tanzania entrepreneurship program, during a function held in Dar es Salaam. The program aims to strengthen Tanzania’s business landscape through world-class strategy, operational excellence, and faith-based leadership principles. Looking on from left are Avoda Group Founder and CEO, Mr. Jun Shiomitsu, and Avoda Uganda Country Director, Mr. Joshua Agonya.

By Peter Mgongo | Dar es Salaam, Tanzania

The AVODA Blue Tanzania Program has celebrated the graduation of its first cohort of entrepreneurs, marking a major milestone in developing globally competitive and ethically grounded business leaders in the country. The ceremony held in Dar es Salaam recently, bringing together government leaders, business executives, investors, and development partners.

Launched earlier this year, AVODA Blue Tanzania is a four-month, execution-focused entrepreneurship program adapted from the Cambridge MBA and contextualized for African markets, the program aims to strengthen Tanzania’s business landscape through world-class strategy, operational excellence, and faith-based leadership principles.

Cohort 1 brought together founders from sectors including technology, food production, logistics, fashion, education, real estate advisory, and social enterprise. Over the past four months, participants completed intensive training sessions, virtual modules, one-on-one diagnostics, and practical assignments applied directly to their businesses.

Guest of Honor, Mr. Jason Ndanguzi who was representing the ICT Commission’s Director General, Dr. Nkundwe Mwasaga, underscored the importance of entrepreneurship in advancing the country’s digital economy.

This moment aligns with Tanzania’s broader vision, as a nation, we are accelerating the Digital Economy Framework, strengthening our ICT Policy, and preparing our people and enterprises for a knowledge-based, technology-enabled future. For the ICT Commission, this program demonstrates exactly the kind of capacity-building that Tanzania needs as we transition into a digital era."

Across global innovation economies, one pattern is clear; countries rise not because they have ideas, but because they have capable founders. Founders with strategic discipline. Founders who understand technology. Founders who lead with integrity. Founders who build enterprises that last. Avoda Blue is among the few programs in Tanzania addressing this with such depth, rigor, and intentionality”, he noted.

The ICT guru added; “As the ICT Commission, we stand ready to deepen collaboration with programs that strengthen digital capability, prepare entrepreneurs for scale, integrate emerging technologies, and support the creation of sustainable businesses. Tanzania’s rise depends on entrepreneurs who are ready to build boldly, adapt quickly, and innovate continuously."

To our graduates, today marks your transition into a new identity, you are no longer simply business owners, you are architects of Tanzania’s digital and economic future. Over the last four months, you have engaged with operational frameworks, financial discipline, AI tools, product refinement, Kingdom leadership principles, and investor readiness, this kind of preparation is rare in our market, and deeply necessary”, added Mr. Ndanguzi.

Earlier the Unleashed Africa CEO, Ms. Khalila Mbowe said her social ventures reaffirms its national commitment to building world-class programs that equip Tanzania’s youth, founders, and industry leaders with the skills, networks, and mindsets needed to build high-performing, future-ready enterprises

For too long, many African entrepreneurs including many of us have operated from the back benches of business excellence, that era must be history, across our brands; from RiseUp, to JUU’s creative economy work, to The Space and its flagship Nipe Dili program, Unleashed Africa has been steadily constructing a holistic empowerment ecosystem where young people can access opportunities, develop 21st-century skills, secure business support, and deepen their leadership potential”, said Ms. Khalila.

Avoda Group Founder and CEO Jun Shiomitsu expressed deep appreciation to Unleashed Africa for being the first organization in Tanzania to believe in and partner with the AVODA mission. He noted that although expanding the program beyond Uganda was initially considered difficult, the team’s prayers and the strong Christian entrepreneurial ecosystem helped pave the way. He added that their relationship with Unleashed Africa is already bearing visible fruit, demonstrating the powerful work taking place in Tanzania.

To the graduates; first of all, you believed in us. Now, as you graduate, it is our turn to believe in you, to ensure that your businesses find the customers they need and the capital they require. It is our turn now to place our trust in you. I am confident that your businesses will achieve great things, truly great things, and I stand firmly by that confidence. Christian connections around the world have already seen and experienced our services. By graduating from Avoda, you are being planted into a massive global ecosystem, in Asia, Europe, and the Americas, among people who share your faith and who want to see you succeed,” he said.

One of the graduands, Engineer Regina Fumbuka from Multi Genius Africa, an organization working to make mathematics more appealing and easier to teach said, the Avoda program has helped her learn how to become a good leader, build effective business systems, manage a business, and maintain proper financial records. She added that the program has enabled her to progress from one level to another in her entrepreneurial journey.

Three awards were presented during the ceremony; the Exceptional Performance Award, Business Growth Excellence Award, and Servant Leadership Award. Graduates also showcased their businesses, growth milestones, and investment or partnership needs through a three-minute pitch session.
Unleashed Africa Social Enterprises Acting Board Chairperson, Ms. Ngianasia Minja (second right), presents a certificate to Mr. Alexander Rwiza, a graduand of the four-month AVODA Blue Tanzania entrepreneurship program, during a function held in Dar es Salaam recently. The program aims to strengthen Tanzania’s business landscape through world-class strategy, operational excellence, and faith-based leadership principles. Looking on from left are Avoda Group Founder and CEO, Mr. Jun Shiomitsu, and Avoda Uganda Country Director, Mr. Joshua Agonya.
Unleashed Africa Chief Executive Officer, Ms. Khalila Mbowe (right), moderates a panel discussion during the four-month AVODA Blue Tanzania entrepreneurship program graduation, adapted from the Cambridge MBA and contextualized for African markets. The program aims to strengthen Tanzania’s business landscape through world-class strategy, operational excellence, and faith-based leadership principles. The event was held in Dar es Salaam recently. On her right are Avoda Uganda Country Director, Mr. Joshua Agonya; one of the graduands, Ms. Esther Kolimba and Avoda Group Founder and CEO, Mr. Jun Shiomitsu. (Photos by Peter Mgongo)
Share:

INNOVATION HUBS NETWORK STAKEHOLDERS RECOGNIZED FOR OUTSTANDING CONTRIBUTION

The Chairperson of the Board of the Tanzania Hubs Network (THN), Dr. Irene Shubi Isinika, speaking at the ceremony to commend pioneering innovation stakeholders held alongside the THN Annual General Meeting in Dar es Salaam recently. Since its establishment in 2020, THN has been at the forefront of building an innovation ecosystem by empowering innovation hubs to support innovators and entrepreneurs in driving social and economic development.
The Chairperson of the Board of the Tanzania Hubs Network (THN), Dr. Irene Shubi Isinika (right), presenting an honorary award to the Project Manager of the Funguo Program run by the United Nations Development Programme (UNDP), Mr. Joseph Manirakiza, in recognition of his contribution to innovation development in the country. This took place during the ceremony to commend innovation stakeholders held alongside the THN Annual General Meeting in Dar es Salaam recently.
Senior Lecturer at the College of Information and Communication Technologies of the University of Dar es Salaam and Innovation Coordinator through the university’s innovation hub (UDICTI), Dr. Moses Ismail (left), receiving an award presented by the Tanzania Hubs Network (THN) from the Country Director of the Westerwelle Tanzania Foundation, Mr. Isaack Shalo, at a ceremony organized by THN in Dar es Salaam to recognize pioneering stakeholders who have contributed to the advancement of innovation in the country.

By Peter Mgongo, Dar es Salaam

In recognizing the contribution of stakeholders who have supported the growth of innovation in the country, the Tanzania Hubs Network (THN) organized an official ceremony to commend pioneering innovation stakeholders, alongside the network’s annual general meeting.

Speaking at the ceremony in Dar es Salaam yesterday, the Executive Director of the network, Mr. Kiko Kiwanga, said the network, which was established in 2020, connects more than 62 hubs across Mainland Tanzania and Zanzibar, bringing together innovation hubs from universities, organizations, governmental bodies, and private centers.

Today is a very special day for our ecosystem because since we began, this is our first annual meeting, which started this morning with the guest of honor being the Director of the ICT Commission, Dr. Nkundwe Mwasaga. We are now doing something unique within our ecosystem to recognize stakeholders who have made significant contributions in advancing innovation and strengthening these hubs.

The contributions of these stakeholders have always been acknowledged, but today, for the first time, we are holding this event to recognize the pioneering stakeholders who have put great effort into ensuring that young innovators and startup entrepreneurs grow and receive support within our ecosystem,” said Mr. Kiwanga.

Speaking about the THN Network, the director said that since its establishment, it has been at the forefront of building an innovation ecosystem by empowering innovation hubs to support innovators and entrepreneurs to drive social and economic development.

We call upon the government to increase investment in supporting youth through this network, enabling them to achieve their innovation goals and establish companies with great potential to create jobs and solve various societal challenges. These hubs have done tremendous work in preparing young people, many come in without any ideas at all, and they are supported until they develop concrete concepts.

Speaking at the event, one of the stakeholders who received an award, Dr. Moses Ismail, a Senior Lecturer at the College of Information and Communication Technologies of the University of Dar es Salaam and Innovation Coordinator through the university’s innovation hub (UDICTI), said that although the university engages in teaching, research, community service, and consultancy, with innovation and entrepreneurship taught to first-year students for many years, in 2010 the college established the UDICTI innovation hub with the aim of providing practical innovation training.

The hub provides a dedicated workspace, specialized training in developing innovative products, and linkages to innovation stakeholders who can support the work they undertake.

Innovation is a crucial tool for the development of a country and its people because it enhances the value of local innovative products. Many of us rely heavily on imported products, yet locally we have various innovative products that help our students become major contributors to the production of these products, which eventually grow into companies and help increase employment, especially at a time when we want our university graduates to be key drivers of job creation rather than job seekers,” said Dr. Ismail.

Meanwhile, the Chief Executive Officer of the Business Registrations and Licensing Agency (BRELA), Mr. Godfrey Nyaisa, speaking at the event, urged innovators, especially those running startups to register their businesses with BRELA so they can benefit from various guidelines that will enable them to operate efficiently. He also challenged the THN Network to involve government authorities in their day-to-day operations.

With a vision of strengthening collaboration, providing resources, and promoting knowledge exchange among its members, THN also collaborates with the Information and Communication Technologies Commission (ICTC) to strengthen the innovation environment and promote the establishment of innovation hubs in various regions.

Share:

Benki ya Absa Tanzania yang'ara tuzo za NBAA

   

Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Laurent Luswetila (kulia), akikabidhi tuzo ya mshindi wa pili wa Uwasilishaji Bora wa Taarifa za Fedha katika kitengo cha Mabenki yenye Ukubwa wa Kati kwa Mwaka 2024 zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA), kwa Mkuu wa Uchambuzi wa Utendaji wa Biashara wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Stivin Augustino (wa pili kushoto) na Mdhibiti wa Masuala ya Fedha wa benki hiyo, Bw. Muhsin Kaye, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Wa tatu kushoto Mkurugenzi Mtendaji wa NBAA, CPA. Pius Maneno.
Mdhibiti wa Masuala ya Fedha wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Muhsin Kaye ( wa pili kushoto) akishikana mikono na Mwenyekiti wa Bodi ya NBAA, CPA Prof. Sylvia Temu, mara baada ya kupokea tuzo ya mshindi wa pili wa Uwasilishaji Bora wa Taarifa za Fedha katika kitengo cha Mabenki yenye Ukubwa wa Kati kwa Mwaka 2024 zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA), katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Kutoka kulia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Laurent Luswetila, Mkurugenzi Mtendaji NBAA, CPA. Pius Maneno na Mkuu wa Uchambuzi wa Utendaji wa Biashara wa benki hiyo, Bw. Stivin Augustino.
Mkuu wa Uchambuzi wa Utendaji wa Biashara wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Stivin Augustino (kushoto) na Mdhibiti wa Masuala ya Fedha wa benki hiyo, Bw. Muhsin Kaye wakipozi mbele ya wapigapicha baada ya kukabidhiwa tuzo ya mshindi wa pili wa Uwasilishaji Bora wa Taarifa za Fedha katika kitengo cha Mabenki yenye Ukubwa wa Kati kwa Mwaka 2024, zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.
Mkuu wa Uchambuzi wa Utendaji wa Biashara wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Stivin Augustino (mstari wa mbele wa tatu kushoto) akipiga picha ya pamoja na washindi mbalimbali wa tuzo za Uwasilishaji Bora wa Taarifa za Fedha katika kitengo cha Mabenki yenye Ukubwa wa Kati kwa Mwaka 2024, zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA), zilizofanyika jijini Dar es Salaam jana.
Share:

WASHINDI WA 'UJANJA NI KUSWIPE NA KADI YA ABSA WAENDELEA KUJISHINDIA ZAWADI

 

Mmoja wa washindi wa droo ya kwanza ya Kampeni ya 'Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa', Bi. Flora Obeto (kushoto), akipokea mfano wa hundi ya shs milioni 3 kutoka kwa Mkurugenzi wa Wateja Binafsi, Bi. Ndabu Swere (kulia), katika hafla iliyofanyika pamoja na droo ya pili ya kampeni hiyo jijini Dar es Salaam leo. Katika droo hiyo, Bw. Joseph Mafuru alishinda shs milioni 3, Bi. Xuan Lou, shs milioni 5 na Dk. Fauz Twain alijishindia shs milioni 10. Katikati ni Meneja Huduma za Jamii na Matukio wa Absa, Bi. Abigail Lukuvi.
Mmoja wa washindi wa droo ya kwanza ya Kampeni ya 'Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa' Bi. Flora Obeto (kushoto), akichezesha droo ya pili ya kampeni hiyo jijini Dar es Salaam leo. Katika droo hiyo, Bw. Joseph Mafuru alishinda shs milioni 3, Bi. Xuan Lou, shs milioni 5 na Dk. Fauz Twain alijishindia shs milioni 10. Kutoka kushoto ni Meneja Huduma za Jamii na Matukio wa Absa, Bi. Abigail Lukuvi, Mkurugenzi wa Wateja Binafsi, Bi. Ndabu Swere, Mwakilishi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Neema Tatock na Meneja Masoko na Mawasiliano wa benki hiyo, Bw. Beda Biswalo.
Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Ndabu Swere (katikati), akizungumza jijini Dar es Salaam leo katika hafla ya droo ya pili ya Kampeni ya 'Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa' ambapo pia mshindi wa droo iliyopita, Bi Flora Obeto (wa pili kushoto), alikabidhiwa zawadi yake ya fedha taslimu kiasi cha shs milioni 3. Katika droo hiyo, Bw. Joseph Mafuru alishinda shs milioni 3, Bi. Xuan Lou, shs milioni 5 na Dk. Fauz Twain alijishindia shs milioni 10. Kutoka kushoto ni Meneja Huduma za Jamii na Matukio wa Absa, Bi. Abigail Lukuvi na Mwakilishi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Neema Tatock.
Mmoja wa washindi wa droo ya kwanza ya Kampeni ya 'Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa', Bi. Flora Obeto (katikati), akipozi kwa picha na baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Absa Tanzania, muda mfupi baada ya kupokea mfano wa hundi ya shs milioni 3 kutoka kwa Mkurugenzi wa Wateja Binafsi, Bi. Ndabu Swere katika hafla ambayo pia Absa ilichezesha droo ya pili ya kampeni hiyo ambapo Bw. Joseph Mafuru alishinda shs milioni 3, Bi. Xuan Lou, shs milioni 5 na Dk. Fauz Twain alijishindia shs milioni 10.
Share:

Benki ya Absa yakabidhi msaada wa mahitaji muhimu yakiwemo vyakula, sabuni, vinywaji na cherehani kwa kituo cha kulelea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu cha Raya Islamic Orphanage Centre kilichopo Lukono, wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro

     

Meneja wa Tawi la Benki ya Absa Mkoa wa Morogoro, Bw. Godfrey Chilewa (katikati) na Ofisa wa kitengo cha fedha wa benki hiyo, Bi. Aiva Mussa, wakikabidhi kichwa cha chereheni kwa Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Raya Islamic Orphanage Centre Lugono, Bw. Ramadhani Msombeli, katika hafla ambayo benki hiyo ilikabidhi msaada wa mahitaji mengine muhimu yakiwemo vyakula, sabuni na vinywaji, kituoni hapo, mkoani Morogoro, jana.

Morogoro | Benki ya Absa imetoa msaada wa mahitaji muhimu kwa watoto yatima wanaolelewa katika kituo cha Raya Islamic Orphanage Centre kilichopo kijiji cha Lugono wilayani Mvomero, mkoani Morogoro, ikiwa ni sehemu ya mchango wa benki hiyo na wafanyakazi wake katika kuunga mkono juhudi za malezi na kuboresha ustawi wa watoto wanaoishi katika mazingira magumu.

Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo kwa walezi na watoto kituoni hapo jana, Meneja wa Tawi la Absa Mkoa wa Morogoro, Godfrey Chilewa, alisema hatua hiyo ni muendelezo wa benki hiyo katika kurudisha fadhila kwa jamii inayowazunguka. Alisema kituo hicho ni miongoni mwa maeneo wanayoyafikia kwa lengo la kupunguza changamoto za malezi zinazowakabili watoto yatima na wenye mazingira magumu.

Chilewa alisema benki hiyo inatambua kazi kubwa inayofanywa na vituo vya kuhudumia watoto yatima nchini, na kwamba changamoto wanazopitia zinahitaji nguvu ya pamoja kutoka kwa watu binafsi, taasisi na makampuni ili kuhakikisha watoto hao wanapata huduma bora na makuzi salama.

Watoto yatima wana uhitaji sawa wa malezi kama watoto wengine wanaokua katika familia zao, watoto hawa nao wana story za maisha yao wangependa zitimie, sisi Absa tunasema ‘Stori yako ina thamani’, Stori za maisha ya watoto hawa zina thamani kwetu na tunaamini misaada kama hii inakwenda kuchangia kukamilika kwa stori zao."

Mara nyingi watoto wanaolelewa kwenye vituo wanakosa baadhi ya mahitaji ya msingi kutokana na uwezo mdogo wa vituo hivyo. Hivyo, ni jukumu letu kama jamii kusaidia kile tunachokipata ili watoto hawa wakue kama wengine,” alisema Chilewa.

Akiendelea kueleza, alisema jamii ina wajibu wa kusaidia kujenga kizazi chenye maarifa, uwezo wa kujitegemea na dira sahihi, huku akisisitiza kuwa watoto yatima mara nyingi hukosa huduma muhimu kama chakula, mavazi, elimu na afya. Aliongeza kuwa ndoto ya Absa ni kuona changamoto hizo zinapungua kupitia ushirikiano na wadau mbalimbali akiongeza kuwa hii inaenda sambamba na lengo la benki hiyo la ‘Kuiwezesha Afrika na Tanzania ya Kesho, Pamoja, hatua moja baada ya nyingi’.

Saidi Hamis (27), mmoja wa vijana waliokulia kituoni hapo, alisema kituo hicho kina jumla ya watoto 113, ambapo wavulana ni 66 na wasichana 47. Alieleza kuwa kituo kilianzishwa mwaka 2013 eneo la Mindu kabla ya kuhamia Lugono, na kwa sasa wanakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa uzio wa kuzunguka makazi yao.

Changamoto kubwa ni kukosa uzio, jambo ambalo linatuweka katika hatari ya kuvamiwa na wanyama wakali, ikiwemo tembo wanaotoroka Hifadhi ya Taifa ya Mikumi. Tunaiomba jamii kutusaidia kufanikisha ujenzi wa uzio ili watoto wawe salama,” alisema Saidi.

Kwa upande wake, Karomelo Kizilahabi (17), mmoja wa watoto wanaolelewa kituoni, alisema msaada walioupokea utawasaidia kwa kiasi kikubwa, hasa cherehani nne walizokabidhiwa ambazo zitawawezesha kujifunza ufundi wa kushona nguo.

Cherehani hizi zitatusaidia kupata ujuzi wa kushona nguo na kutujengea uwezo wa kujitegemea baadaye. Tunawashukuru kwa kutukumbuka na tunawaombea muendelee kuwa na moyo huu,” alisema Karomelo.
Meneja wa Tawi la Benki ya Absa Mkoa wa Morogoro, Bw. Godfrey Chilewa (Katikati) na Ofisa wa kitengo cha mauzo wa benki hiyo, Bi. Grace Ndile wakikabidhi mfuko wa unga kwa Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Raya Islamic Orphanage Centre Lugono, Bw. Ramadhani Msombeli katika hafla ambayo benki hiyo ilikabidhi msaada wa mahitaji muhimu vikiwemo vyakula, sabuni, vinywaji na cherehani, kituoni hapo, mkoani Morogoro, jana.
Meneja wa Tawi la Benki ya Absa Mkoa wa Morogoro, Bw. Godfrey Chilewa (Katikati) na Meneja Masoko wa benki hiyo, Bw. Shauri Masengwa wakiwakabidhi vinywaji watoto, Karomelo Kizilahabi na Jamali Abdallah, katika hafla ambayo benki hiyo ilikabidhi msaada wa mahitaji muhimu vikiwemo vyakula, sabuni na cherehani, kwa kituo cha Raya Islamic Orphanage Centre Lugono wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, jana.
Meneja wa Tawi la Benki ya Absa Mkoa wa Morogoro, Bw. Godfrey Chilewa kushoto na baadhi wafanyakazi wenzake wa tawi hilo, wakiwa na baadhi ya watoto yatima wa Kituo cha Raya Islamic Orphanage Centre kilichopo Lugono wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, baada ya kukabidhi msaada wa mahitaji muhimu vikiwemo vyakula, sabuni, vinywaji na cherehani, kituoni hapo jana.
Meneja wa Tawi la Benki ya Absa Mkoa wa Morogoro, Bw. Godfrey Chilewa (Katikati), baadhi wafanyakazi wenzake na wasimamizi wa Kituo cha watoto yatima cha Raya Islamic Orphanage Centre kilichopo Lugono wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, wakipozi mbele ya wapiga picha, muda mfupi baada ya meneja huyo kukabidhi msaada wa mahitaji muhimu vikiwemo vyakula, sabuni, vinywaji na cherehani, vilivyotolewa na benki hiyo, kituoni hapo jana.
Share:

BENKI YA ABSA YASHINDA TUZO YA ‘BENKI INAYOPENDEKEZWA NA KUFIKIWA ZAIDI MASHARIKI NA KUSINI MWA AFRIKA’

        

Mkuu wa Uendeshaji wa Matawi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Irene Mwilongo (katikati), pamoja na baadhi ya wafanyakazi wenzake, wakionesha tuzo ya ‘Benki Inayopendekezwa na Kufikiwa zaidi Mashariki na Kusini mwa Afrika’ mara baada ya kukabidhiwa, katika hafla ya utoaji wa tuzo za Chaguo la Walaji Afrika 2025, jijini Dar es Salaam jana.
Mkuu wa Uendeshaji wa Matawi wa Benki ya Absa Tanzania Bi. Irene Mwilongo (wa tatu kulia), akipokea tuzo ya ‘Benki Inayopendekezwa na Kufikiwa zaidi Mashariki na Kusini mwa Afrika' kutoka kwa Mwakilishi kutoka waandaaji wa tuzo hizo, Bi. Balqis Njuki, katika hafla ya kila mwaka ya utoaji wa Tuzo za Chaguo la Walaji Afrika 2025, jijini Dar es Salaam jana. Wengine ni baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo.
Mkuu wa Uchambuzi wa Utendaji wa Biashara wa Benki ya Absa Tanzani, Bw. Stivia Augustino (wa tatu kulia), akionesha tuzo ya ‘Benki Inayopendekezwa na Kufikiwa zaidi Mashariki na Kusini mwa Afrika’, katika hafla ya kila mwaka ya utoaji wa Tuzo za Chaguo la Walaji Africa 2025, jijini Dar es Salaam jana. Wengine ni baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo.
Mkuu wa Mikakati na Data wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. John Mosha (wa nne kulia), akizungumza baada ya kupokea tuzo ya ‘Benki Inayopendekezwa na Kufikiwa zaidi Mashariki na Kusini mwa Afrika’, katika hafla ya kila mwaka ya utoaji wa Tuzo za Chaguo la Walaji Africa 2025, jijini Dar es Salaam jana. Wengine ni baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo.
Share:

BENKI YA ABSA TANZANIA YATOA SHS MILIONI 18 KWA WASHINDI WA KAMPENI YA ‘UJANJA NI KUSWIPE NA KADI YA ABSA, IKITAMBULISHA UDHAMINI WA SAFARI YA MTEJA NA MWENZA WAKE KUSHUHUDIA TAMASHA MAARUFU DUNIANI LA ‘ABSA CHAMPAGNE AFRIKA’ NCHINI AFRIKA KUSINI.

     

Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Ndabu Swere (Katikati), akizungumza na waandishi wa habari katika hafla ambayo benki hiyo ilikabidhi zawadi za fedha taslimu kwa washindi 18 wa kila wiki wa kampeni inayoendelea ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ jijini Dar es Salaam jana. Katika hafla hiyo, Absa ilitambulisha udhamini wa safari ya mtu na mwenza wake kushuhudia Tamasha la maarufu duniani la ‘Absa Champagne Afrika’ nchini Afrika Kusini na pia kuchezesha droo ya mwezi ya kampeni hiyo ya miezi mitatu iliyozinduliwa Septemba 30 mwaka huu ambayo kiasi cha shs milioni 120 zimetengwa kama zawadi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano, Bw. Aron Luhanga na Mwakilishi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Bi. Judith Wililo.

BENKI ya Absa Tanzania imesema imefanya uwekezaji mkubwa katika huduma zake za kibenki kwa njia ya kidigitali, hususani zinazohusisha matumizi ya kadi ili kuhakikisha watanzania wengi zaidi wanafikiwa na huduma za kibenki huku ikiwezesha wateja wake kunufaika na huduma hizo zenye ubora na gharama nafuu imeelezwa.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana katika hafla ya kuwazawadia washindi wa kampeni yake inayoendelea ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ iliyozinduliwa Septemba 30 mwaka huu yenye lengo la kuhamasisha wateja kufanya miamala ya kibenki kwa kutumia kadi na huduma za kidigitali, Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa benki hiyo, Bi. Ndabu Swere alisema kampeni hiyo inaenda sambamba na lengo kuu la benki hiyo la ‘Kuiwezesha Afrika ya kesho, pamoja, hatua moja baada ya nyingine.

Sisi kama Absa ni jambo la kujivunia kwa sababu tumefanya uwekezaji mkubwa katika mifumo ya huduma zetu za kidigitali ili kuwafanya wateja wetu kufurahia kufanya miamala hii ambayo ni rahisi, uhakika na salama hivyo kuwafanya waweze kutimiza malengo yao huku wakiepukana na majanga ambayo yangeweza kuwapata kwa kutembea na fedha taslimu.'

Kama benki tunafanya haya kama sehemu ya kuwashukuru wateja wetu kwa kufanya miamala mingi kwetu, nasi tunahakikisha wateja wetu wanapata huduma bora zenye viwango vya hali ya juu na wanafanikiwa katika kila jambo”, alisema Bi. Ndabu.

Katika hafla hiyo washindi 18 wa kila wiki wa kampeni hiyo walizawadiwa kila mmoja shs 500,000, huku washindi watatu wa mwezi wakijishindia pesa taslimu jumla ya shs milioni 18, ambapo Bi. Flora Awur alishinda shs milioni 3, Bi. Stella Kahwa, shs milioni 5 na Bw. Tony Mushi alijishindia shs milioni 10.

Sambamba na hilo Meneja wa Bidhaa za Kadi na Malipo wa benki hiyo, Bi. Erica Mwaipopo, alizungumzia promosheni ya matumizi ya Kadi ya malipo ‘Absa Infinite card’ inayopatikana kwa Shilingi za kitanzania ama Dola ya Kimarekani kama kadi ya kawaida (debit) ama mkopo (credit) iliyokuwa ikifanyika pamoja na Kampeni ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’.

Kwa kutambua thamani ya wateja wetu wanaotumia kadi hii tulifanya promosheni ambayo mteja atakayefanya miamala mingi zaidi atajishindia safari yeye na mwenza wake kushuhudia tamasha maarufu duniani la ‘Absa Champagne Afrika’ nchini Afrika Kusini linalotarajiwa kufanyika mwezi huu na ninayo furaha kumtangaza Bw. Felician Hechei kama mshindi wa promosheni hii."

Infinite Credit Card ni kadi ya kifahari inayolenga kuhudumia wateja wa hadhi ya juu, kwa huduma za kifedha zilizoboreshwa, ni kadi iliyobuniwa kukidhi mahitaji ya wateja wanaotafuta ubora, usalama na upatikanaji wa huduma duniani kote”, alisema Bi. Erica.

Miongoni mwa faida zake ni bima ya safari za kimataifa, kupata huduma za chakula, vinywaji na mapumziko katika viwanja vya ndege zaidi ya 1,200, bei ya punguzo katika manunuzi, bima ya kufuta tiketi za safari, na udhamini wa bidhaa za muda mrefu.

Naye Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano wa benki hiyo, Bw. Aron Luhanga akizungumza mahali hapo alisema tukio hilo linadhihirisha kwa vitendo kauli mbiu ya benki hiyo isemayo ‘Stori yako ina Thamani’ hivyo kwa kuwazawadia washindi hao inaonesha ni jinsi gani Benki ya Absa Tanzania inavyothamini stori za mafanikio ya wateja wao.

Mmoja wa washindi wa wiki, Dk Heri Marwa alisema kutokana na kusafiri sana nje ya nchi, kadi ya Absa Infinite Credit Card imemsaidia sana kupata huduma zikiwemo manunuzi ndani ya ndege na katika viwanja vya mbalimbali vya ndege ambazo hapo awali alishindwa kuzipata wakati akitumia kadi za kawaida.

Kampeni ya miezi mitatu ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Benki ya Absa’ ilizinduliwa ilizinduliwa Septemba 30 mwaka huu ikiwa na washindi sita wa shs 500,000 kila wiki; mshindi wa shs milioni 3, shs milioni 5 na shs milioni 10 kila mwezi na mshindi mmoja wa mwisho wa shs milioni 10 ambapo benki hiyo imetenga jumla ya shs milioni 120 kama zawadi kwa washindi watakaopatikana katika kampeni yote.
Mmoja wa washindi wa kila wiki wa Kampeni ya ‘Ujanja ni Kuswipe na kadi ya Absa’, Dk. Heri Marwa, akichezesha droo wakati wa mkutano na waandishi wa habari ambapo Benki ya Absa ilikabidhi zawadi za fedha taslimu kwa washindi 18 wa kila wiki wa kampeni inayoendelea jijini Dar es Salaam jana. Katika hafla hiyo, Absa ilitambulisha udhamini wa safari ya mtu na mwenza wake kushuhudia tamasha maarufu duniani la ‘Absa Champagne Afrika’ nchini Afrika Kusini na pia kuchezesha droo ya mwezi ya kampeni hiyo ya miezi mitatu iliyozinduliwa Septembapo 30 mwaka huu ambayo kiasi cha shs milioni 120 zimetengwa kama Zawadi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano, Bw. Aron Luhanga, Mkurugenzi wa Wateja Binafsi, Bi. Ndabu Swere na Mwakilishi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Bi. Judith Wililo.
Meneja wa Bidhaa za Kadi na Malipo wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Erica Mwaipopo (kulia), akizungumza kuhusu kampeni ya matumizi ya Kadi ya malipo ya ‘Absa Infinite credit card’ ambayo mshindi na mwenza wake watapata udhamini kushuhudia Tamasha maarufu duniani la ‘Absa Champagne Afrika’ nchini Afrika Kusini linalotarajiwa kufanyika mwezi huu. Katika hafla hiyo pia, Absa ilikabidhi zawadi za fedha taslimu kwa washindi 18 wa kila wiki wa kampeni nyingine inayoendelea ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ na pia kuchezesha droo ya mwezi ya kampeni hiyo ya miezi mitatu iliyozinduliwa Septemba 30 mwaka huu ambayo kiasi cha shs milioni 120 zimetengwa kama zawadi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano, Bw. Aron Luhanga na Mkurugenzi wa Wateja Binafsi, Bi. Ndabu Swere.
Mmoja wa washindi wa wiki, wa Kampeni ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ Bw. Felician Hechei (kushoto), akipokea mfano wa hundi ya malipo ya shs 500,000 kutoka kwa Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Ndabu Swere, huku Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano wa benki hiyo, Bw. Aron Luhanga akiangalia, jijini Dar es Salaam jana. Katika hafla hiyo washindi 18 wa kila wiki wa kampeni hiyo walizawadiwa kila mmoja shs 500,000, huku washindi watatu wa mwezi wakijishindia pesa taslimu jumla ya shs milioni 18. Absa pia ilitambulisha udhamini wa safari ya mtu na mwenza wake kushuhudia Tamasha la maarufu duniani la ‘Absa Champagne Afrika’ nchini Afrika Kusini na kuchezesha droo ya mwezi ya kampeni hiyo ya miezi mitatu iliyozinduliwa Septemba 30 mwaka huu ambayo kiasi cha shs milioni 120 zimetengwa kama zawadi.
Mmoja wa washindi wa wiki, wa Kampeni ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ Dk. Heri Marwa (kushoto), akipokea mfano wa hundi ya malipo ya shs 500,000 kutoka kwa Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Ndabu Swere, huku Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano wa benki hiyo, Bw. Aron Luhanga akiangalia, jijini Dar es Salaam jana. Katika hafla hiyo washindi 18 wa kila wiki wa kampeni hiyo walizawadiwa kila mmoja shs 500,000 huku washindi watatu wa mwezi wakijishindia pesa taslimu jumla ya shs milioni 18. Absa pia ilitambulisha udhamini wa safari ya mtu na mwenza wake kushuhudia Tamasha la maarufu duniani la ‘Absa Champagne Afrika’ nchini Afrika Kusini na kuchezesha droo ya mwezi ya kampeni hiyo ya miezi mitatu iliyozinduliwa Septemba 30 mwaka huu ambayo kiasi cha shs milioni 120 zimetengwa kama zawadi.
Mmoja wa washindi wa wiki, wa Kampeni ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ Bw. Bhavik Lwada (kushoto), akipokea mfano wa hundi ya malipo ya shs 500,000 kutoka kwa Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Ndabu Swere, huku Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano wa benki hiyo, Bw. Aron Luhanga akiangalia, jijini Dar es Salaam jana. Katika hafla hiyo washindi 18 wa kila wiki wa kampeni hiyo walizawadiwa kila mmoja shs 500,000, huku washindi watatu wa mwezi wakijishindia pesa taslimu jumla ya shs milioni 18. Absa pia ilitambulisha udhamini wa safari ya mtu na mwenza wake kushuhudia Tamasha la maarufu duniani la ‘Absa Champagne Afrika’ nchini Afrika Kusini na kuchezesha droo ya mwezi ya kampeni hiyo ya miezi mitatu iliyozinduliwa Septemba 30 mwaka huu ambayo kiasi cha shs milioni 120 zimetengwa kama zawadi.
Meneja Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Beda Biswalo (kulia), akizungumza kwa simu, jijini Dar es Salaam jana, na baadhi ya washindi wa mwezi wa Kampeni ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ ambapo wateja wa benki hiyo, Bi. Flora Awur alishinda shs milioni 3, Bi. Stella Kahwa, shs milioni 5 na Bw. Tony Mushi alijishindia shs milioni 10. Katika hafla hiyo washindi 18 wa kila wiki wa kampeni hiyo walizawadiwa shs 500,000 kila mmoja. Absa pia ilitambulisha udhamini wa safari ya mtu na mwenza wake kushuhudia Tamasha la maarufu duniani la ‘Absa Champagne Afrika’ nchini Afrika Kusini. Kampeni hiyo ya miezi mitatu ilizinduliwa Septemba 30 mwaka huu huku kiasi cha shs milioni 120 zikitengwa kama zawadi. Katika picha kutoka kushoto ni; Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano, Bw. Aron Luhanga, Mkurugenzi wa Wateja Binafsi, Bi. Ndabu Swere na Mwakilishi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Bi. Judith Wililo.
Baadhi ya washindi wa wiki wa Kampeni ya ‘Ujanja ni Kuswipe na Kadi ya Absa’ wakipozi mbele ya wapigapicha pamoja na baadhi ya viongozi na wafanyakazi wa Benki ya Absa Tanzania, mara baada ya mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana. Washindi 18 wa kila wiki walikabidhiwa zawadi za pesa taslimu kila mmoja kiasi cha shs 500,000, huku washindi watatu wa mwezi wakijishindia pesa taslimu jumla ya shs milioni 18.
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Blog Archive

Labels

Blog Archive

Recent Posts

Label Cloud

BIASHARA (287) BURUDANI (4) KIMATAIFA (10) KITAIFA (120) MICHEZO (39) SIASA (3)

Pages