WATU 12,000 WAHOFIWA KUUGUA UGONJWA WA HIMOFILIA NCHINI

Waziri wa Afya wa Zanzibar, Mhe. Nassor Ahmed Mazrui (katikati), akika utepe kuashiria uzinduzi wa kliniki ya himofilia, sambamba na maadhimisho ya Siku ya Himofilia Duniani katika hafla iliyofanyika katika Hospitali ya Wilaya ya Ijitimai, Visiwani Zanzibar, jana. Pamoja naye...
Share:

AKIBA COMMERCIAL BANK YATOA ELIMU YA KIFEDHA KWA WATEJA WAKE KARIAKOO

Mkurugenzi Mtendaji wa Akiba Commercial Bank Plc, Silvest Arumasi (kushoto), akiwa Kwenye kikao na wateja na wajasiriamali (SMEs) kutoka Kariakoo, katikati ya kitovu cha biashara Afrika Mashariki, ili kujadili changamoto zao na kushirikiana mawazo kuhusu masuluhisho yanayoweza...
Share:

AKIBA COMMERCIAL BANK PLC YAPELEKA TABASAMU KWA WATOTO WENYE UHITAJI

 Akiba Commercial Bank Plc Yapeleka Tabasamu Kituo cha Kulea Watoto- Chakuwama Sinza Dar es Salaam, 28/03/2025 – Katika kuendelea kujitoa kwa jamii, Akiba Commercial Bank Plc imetoa msaada kituo cha kulea Watoto cha Chakuwama, ikilenga kuboresha ustawi wa watoto na kuleta...
Share:

Benki ya Absa Tanzania na World Vision Tanzania Washirikiana Kuboresha Upatikanaji wa Maji katika Kijiji cha Kwedizinga

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (wa pili kushoto) na Mkurugenzi wa Miradi wa Shirika la World Vision Tanzania, Bi. Nesserian Mollel, wakisaini hati ya makubaliano jijini Dar es Salaam leo kwa ajili ya ushirikiano kwenye Mradi wa Maji katika Kijiji...
Share:

"Stori za Afya za Wanawake wa Tanzania zina thamani kwetu", Absa Bank

Baadhi ya Wafanyakazi Wanawake wa Benki ya Absa Tanzania kupitua umoja wao uitwao ‘Red Skirts’ wakiwa katika picha ya pamoja na madaktari pamoja na wagonjwa katika Hospitali ya CCBRT, baada ya kukabidhi msaada wa vifaa tiba kwa ajili ya wagonjwa wa fistula kama sehemu ya Maadhimisho...
Share:

Absa Group Reports 10% Increase in 2024 Earnings after Material Second-Half Recovery

     Salient pointsRevenue increased 5% to R109.9 billionOperating costs rose 5% to R58.5 billionCost-to-income ratio unchanged at 53.2%Pre-provision profit increased 5% to R51.4 billionImpairments decreased 8% to R14.3 billionCredit loss ratio improved to...
Share:

Benki ya Absa kuendelea kuunga mkono maendeleo ya wanawake mahali pa kazi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Ridhiwani Kikwete (kushoto), akikabidhi cheti Kwa Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser, kwa kutambua mchango wa benki hiyo kama mdau muhimu wa Programu ya Mwanamke Kiongozi...
Share:

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

LILIAN-FAVOUR MAKAWA

Popular Posts

Labels