Pages

Saturday, October 24, 2020

Tanzia: Mtangazaji wa TBC, Elisha Elia Afariki Dunia!


Mtangazaji wa Shirika la Habari Tanzania (TBC), ELISHA ELIA MWAKAGALI amefariki Dunia hii Jumamosi ya leo, Oktoba 24, 2020 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokua amelazwa kwa matibabu. 
Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Dkt. Ayub Rioba amethibitisha kutokea kwa msiba huo.


Bwana Ametoa! Bwana Ametwaa! Jina la Bwana Lihimidiwe! Amen!

No comments:

Post a Comment